Kuna mmoja nilimsikia akisema, naomba ni nukuu "mimi nimezaliwa hivi hivi, wala sijafanywa na mjomba wala binadamu maana ndio wengi wanavyodai eti huwa tumefanywa tukiwa wadogo wakati tunalala na ndugu zetu".
Nilishtukaa na kumshangaa bahati mbaya sijamzoea nikashindwa kusema kitu zaidi ya...
Lol......pdidy magari marefuuuu hahahaaaaa na wewe ukapanda na mwali wako? Si kuna jamaa mwingine na yeye alileta au alikua anaongea tu maana na yeye ni mpenda sifa sanaaaa loooh!!!!
FaizaFoxy ulipopita hapa ulikua umefumba macho???? Maana naona umejibu hoja zote zilizofatia ila hii umeiruka, kulikoni??
Sina kiherehere lakini.....najua ndio jibu lako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.