Aisee ktk watu wenye upeo mdogo wa kufikir nawe ni mmoja wao ila bado najiulza ulifikiria nini kuingia kwenye hii JF-THE HOME OF GREAT THINKERS cz naona ktk maisha unawaza kupata mke/mme na si vinginevyo.Jarbu kufikiria kwa upana changamoto zingine!.
Hiv umeelewa mada alyoitoa mwana hapo juu au umekurupuka 4m no where na kutupachikia mada yako? cha mcng hata cku nyngne changia mada ulyoikuta kwanza af nawe utoe thread yako so jifunze kuelewa nini unapaswa kufanya mtu akiwa ameomba msaada!.Thanx kama utakua umeelewa hil somo!.
Hakuna chuo cha namna hyo ndg yng ila vyuo vng ukienda utakuta utaratbu wa PRESENTATION bcoz inasaidia kuongeza confidence mbele ya watu so ukmalza hapo wanaamin mtu utakua na uwezo wa kuongea mahal popote pale even mbele za watu!.
Yaan unavowataja bod moyon unankereketa vby mno!,swal la mcng n kua hzo hela wameztoa wap huku walsema pesa zmekwisha kama sio utan wanaoufanya,ngoja 2waache wafanye wanalolijua!
Mwaka wa pl wote msubr wanavyuo wa mwaka wa kwanza 2pate hyo mikopo af na nyie ndo muanze kuzungumza ya kwenu cz mtaanza ku2boa ina maana nyie hamuelew kuwa group kubwa sn li2lokosa mkopo mwaka huu au ndo mnataka kukoroga mambo?
Wote wanaobshana n washenz 2,jf haipo kw ajl ya kulinganisha vyuo na mabshano ya vyuo cz kla m2 atafagilia chuo alchosoma,halafu hata km hvo vyuo vko juu mabshano yenu yana2saidia nn cc?
Dawa y moto n moto ukiwaka nawe unakoleza,tafuta nawe wa karbu il umpme uone yy atafanyaje!,Ila uctafute ambaye atakua na malengo sn nawe,mawacliano km kawa had saa 6 ucku na jna uwe unamwta honey hapo jeur yake ataiweka mfukon!.
Dah!,ndo serikal ye2 inayowaandaa wato2 wa kuiongoza nch hii kw hapo baadae!.2cmlaumu mto2 ila 2walaumu wanaosema maisha bora kw kla mtanzania.Ina maana hawaelew kuwa huyo mto2 n mtz?.
Umenena mwn,kw hao wanaotaka namba pekee wafanye bdii km hawatak aibu pia watoto wa cku hz wanapenda starehe kulko kusoma so matokeo na majina ndo mpango mzima cz unaleta maendeleo makubwa sn ktk elimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.