Search results

  1. R

    Tafadhali usijaribu huu mchezo!!!!!

    Palee!,enhee hapohapo.
  2. R

    Elimu inayotolewa na vyuo vikuu hapa nchini inawaandaa wahusika kujiajiri au kupata ajira?

    Kaa na ufikir upya kabla ya ku2letea thread yk so in short CJAKUELEWA HATA KDOGO
  3. R

    naomba mniambie major five challanges in life

    Aisee ktk watu wenye upeo mdogo wa kufikir nawe ni mmoja wao ila bado najiulza ulifikiria nini kuingia kwenye hii JF-THE HOME OF GREAT THINKERS cz naona ktk maisha unawaza kupata mke/mme na si vinginevyo.Jarbu kufikiria kwa upana changamoto zingine!.
  4. R

    Msaada juu ya bachelor of procurement

    Hiv umeelewa mada alyoitoa mwana hapo juu au umekurupuka 4m no where na kutupachikia mada yako? cha mcng hata cku nyngne changia mada ulyoikuta kwanza af nawe utoe thread yako so jifunze kuelewa nini unapaswa kufanya mtu akiwa ameomba msaada!.Thanx kama utakua umeelewa hil somo!.
  5. R

    Kuna Chuo Chochote Kinatoa Mafunzo Namna Ya Kuongea Mbele Ya Kadamnasi?

    Hakuna chuo cha namna hyo ndg yng ila vyuo vng ukienda utakuta utaratbu wa PRESENTATION bcoz inasaidia kuongeza confidence mbele ya watu so ukmalza hapo wanaamin mtu utakua na uwezo wa kuongea mahal popote pale even mbele za watu!.
  6. R

    Bodi ya mikopo wana lao jambo

    Yaan unavowataja bod moyon unankereketa vby mno!,swal la mcng n kua hzo hela wameztoa wap huku walsema pesa zmekwisha kama sio utan wanaoufanya,ngoja 2waache wafanye wanalolijua!
  7. R

    Vipi bodi ya mikopo na wanavyuo wa mwaka wa pili walio kosa mkopo mwaka wa kwanza. . . . .??

    Mwaka wa pl wote msubr wanavyuo wa mwaka wa kwanza 2pate hyo mikopo af na nyie ndo muanze kuzungumza ya kwenu cz mtaanza ku2boa ina maana nyie hamuelew kuwa group kubwa sn li2lokosa mkopo mwaka huu au ndo mnataka kukoroga mambo?
  8. R

    Hivi Mzumbe University siku hizi mbona haivumi?

    Wote wanaobshana n washenz 2,jf haipo kw ajl ya kulinganisha vyuo na mabshano ya vyuo cz kla m2 atafagilia chuo alchosoma,halafu hata km hvo vyuo vko juu mabshano yenu yana2saidia nn cc?
  9. R

    Demu anapenda sex phone

    Wakenya wanagesema hv 'we mkare'.
  10. R

    ---maisha ya "njozi za kutisha"--

    Utajua baadae!
  11. R

    Msaada wa haraka tafadhali

    Dawa y moto n moto ukiwaka nawe unakoleza,tafuta nawe wa karbu il umpme uone yy atafanyaje!,Ila uctafute ambaye atakua na malengo sn nawe,mawacliano km kawa had saa 6 ucku na jna uwe unamwta honey hapo jeur yake ataiweka mfukon!.
  12. R

    Ule usemi wa Shida huleta maarifa.....

    Bora bajaj,utafkr TIPA.
  13. R

    Vijana wachapa kazi Mbeya

    Dah!,ndo serikal ye2 inayowaandaa wato2 wa kuiongoza nch hii kw hapo baadae!.2cmlaumu mto2 ila 2walaumu wanaosema maisha bora kw kla mtanzania.Ina maana hawaelew kuwa huyo mto2 n mtz?.
  14. R

    Kuhama cbe dar to dom under tcu yawezekana?

    Chuo co sawa na shule y mcng kwmb unafanya unachoamua so ckukatsh tamaa ila swal lng kw nn uljaza cbe ya dar badala ya dom?
  15. R

    NECTA na matokeo: Kwanini mnaonesha majina?

    Umenena mwn,kw hao wanaotaka namba pekee wafanye bdii km hawatak aibu pia watoto wa cku hz wanapenda starehe kulko kusoma so matokeo na majina ndo mpango mzima cz unaleta maendeleo makubwa sn ktk elimu.
  16. R

    Private candidate

    Alsoma masomo gan?
  17. R

    Kwanini??????

    Dah! poa mwn naona wao hawajalielewa hlo.
  18. R

    Nipo njia panda!

    Utaelewa baadae bwn mkubwa!.
Back
Top Bottom