Bangida thanks man....huwa namwambia mtu ukweli kuhusu mimi nakama yupo tayari kuwa mama watoto wangu maana nipo nje ya muda lakini wanakataa mala zote
📌kinachonishangaza wanawake wote wanaokuja kwenye maisha yangu wanakujaga kipindi mahusiano yao yakiwa dhaifu lakini ninapoamua kuwatongoza tu ndio wanaponikataa kidiplomasia kwakweli nimechoka kukataliwa
Za wakati huu wanajukwaa......naomba kupata uzoefu wenu haswa kwa wale wanaume wenye sifa hizi
1. Short (wafupi) futi 5.6 kushuka chini
2. Broke(wenye kipato cha papatu papatu)
#upambanaji mwingi
3. Black(weusi)
Mlifanikiwa vipi kupata wenza(wake,mzazi mwenzio,mpenzi kawaida nk).
Kwa maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.