Kama Umepita Ajira Serikalini (Una Shift Kutoka Private Kuja Gavoo) Hiki Sio Kioindi Kizuri Sana. vizia Kuanzia Mwez Wa 12 Had 4 Mwakani Hapa Huwa Upepo Wake Unaweza Kukupa Pesa Zako Otherwise Jiandae Kulia
Nilienda Kwa Wakwe Ilitokea Hivi, Nikasema Jaman Sio Ugomvi Mimi Naona Kwa masharti Haya Sitaweza Kwahiyo Bakin Na Mtoto Wenu! Week Mbili Baadae Dogo Akarud Mwenyewe Ghetto Anasema Jome Life Gumu Nikamwambia Haya Pumzika Ndoa Tushafunga Kweny Mioyo Yetu
Kuna Mmoja Alinipokea Kistaarabu Akanipa Seat No : A1 Mtei BBT-DSM, Asubuh Naenda Naambiwa Basi Ketu Halina Herufi Lina Namba Tu 1,2,3 Kwahiyo Nikae Seat Ya Mwisho! Nikasema Hapana Nikawauliza Huyu Mtu Mnamjua Maana TIN Number Ni Yenu Wakanisema Ndio Tusamehe! Nikasema Hapana Nikaenda Kukaa Siti...
Halafu Ww Sio Kwamba Umeoata AjalibIla Ww Ni Muhuni Na Mipango Yako Imefeli, Plan Ni Ukombe Mkopo Ukimbie Ila Ulikoenda Mambo Yamefeli Ukaona Urudi. Vumilia na Acha Hizo Tabia
Pole Ila Uzembe Wako Pia Umechamgia Bahadhi Ya Mambo, Mfano: Unapoingia Tu Kwenye Ajira Automatic NHIF & PSPF Wanaaza Kukukata Makatao Ya Lazima Na Bima Ni Wiki 2 had 3 Unaipata, Ww Umesema Mpaka Likizo Imekukita Na Hauna Bima Huo Ni Uzembe. POLE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.