Hatimaye nimefanikiwa kula tena tunda kimasikhara
Wanangu Juzi kuna dem alikuwa anaenda sehem kwahyo akashuka sehem niliyopo ili siku ya pili aendelee na safar kwakuwa waliingia usiku na mimi nilitangulia kuingia hivyo nikampokea na kumpekeka Lodge kufika Lodge nikamwambia si tuchukue chumba...
Natambua maumivu ya mapenzi lakini jambo moja usimfate mwamba na kumwambia jinsi gani unaumia hilo litakuwa miongoni mwa kosa kubwa kwako kuwahi kufanya. wanaume huwa tunaona fahari sana mwanamke kuumia pale ambapo sio umuhim wake,kama utamfuata na kumuambia jins gani unaumia na bado unampenda...
Natamani nitembelee sehem nzuri na zenye vivutio lakini bajet yngu ni ndogo sana kama mil2 na npo mimi wife mtoto,,,kwa mwenye uzoefu wadau wapi ni sehem nzuri
Naelewa hali unayoipitia ila nakushauri punguza mazoea nae na ji keep busy usiruhusu kijana akuzoee zaid maana hapo ndio mtaongeza tatzo,fanya kazi zako jistir vzr kitu kibaya ni kuwa licha ya wew kuwa na upendo wa kawaida na huyo kijana ila unaweza ukamfukuzisha kazi hapo unakuwa umemharibia...
Niliwahu kutana na hiyo kitu mkuu na mwisho wa siku bint akaja kufunguka huku akilia kuwa yeye ni muathirika daaa iliniuma sana af mtoto mkali sana na akanionyesha hadi dawa zake...alisema ananipenda sana ila hayupo tayari kuniua kwa uzembe wa wazazi wake....
Kama sio kujiongeza kwangu basi wakati wa mimba ningemuacha mke wangu maana alikuwa na hasira sana ila nilimvumilia....alipojifungua na ile hali iliisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.