Kuna dawa inaitwa mwatya, Ni ya kunusa. Unamnususha toto. Pia unampaka utosini.
Kama Ni mkali unampiga Bomba. Yaani unakoroga kiasi Cha kuweza kupata CC tatu ama nne alafu unamoitishia makalioni ukishaiweka atajisaidia hapo hapo.
Huwa naona wanayunga kwenye mabox na kusafirisha kwenye mabasi ya dar. Karibia kila siku mtu huyo anasafirisha. Nadhani ni elfu kumi kwa box
Sent using Jamii Forums mobile app
Salama wana wapendwa. Nahitaji mashine ya kupukuchua mahindi. Niko mwanza mjini. Kuna namba ambazo nomechukua hapa jukwaani lakini wahusika hawapatikani. Kuna moja kutoka Zanzibar na ingine ngome. Wasiliana nami kwa 0754710823
Sent using Jamii Forums mobile app
Salama jamani.
Samahani, hiki suala LA kusajiri university offer limesitishwa ama??
Nimeunganisha Kwa muhudumuwenu wa hapa Nyamalango malimbe Saut Mwanza akanipa Sikh tatu kuwa mambo yatakuwa sawa.
Lakini mpaka sasa ni zaidi ya siku tano bila mafanikio. Naomba kujua kama hiki huduma...
Kwa namna ingine uko vizuri. Kikubwa usiuze mechi. Kwani Kuna wengine ambao wanauza mechi lakini hajajulikana home, so relax akielewa sawa na asipoelewa sawa pia. Maisha yanaendelea.
Umenikusha-Swahili civilization
Ustarabu wa pwani ulivuma baada ya kuwa na mahusiano na wageni kutoka nchi ingine za NNE ambao walikuja kufanya biashara na watu wa pwani
Samahani, yule Dereva ambae alikuwa havai viatu na alikuwa anapenda kukaa upande kwa maana ya kukinga dirisha na mgongo kidogo ndo giriki? Baadae akawa anaenda songea?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.