wale ambao hatujachaguliwa kujiunga na vyuo,
je, tutalazimika kufanya aplication upya za kuomba vyuo tena kwa mara ya 2????
au inakuaje apo
msaada tafazali
naomba msaada tafadhali
ninafanya aplication online kwenye chuo cha arusha technical college ngazi ya diploma
sasa nimefika step ya employer, position held nikashndwa kwa sababu mim sijaajiriwa na niki skip inakataa, na maelezo yao yanasema kama hujaajiriwa skip ili uendelee na hatua inayofuata...
samahani
kwa anayejua principal pass kwa mwaka huu (2019/2020) zinahesabiwaje na inaanzia ngapi mpaka ngapi naomba anijuze.
A=?, B=?, C=?, D=? na kuendelea
natanguliza shukrani
kwa wale wanaojua shule za private za bei nafuu ada ya chini ya sh. milion 2 naomba anijuze.
shule iwe mkoa wowote na pia iwe inapokea walio risit na iwe na mchepuo wa EGM.
naomba msaada wenu tafazali.
ahsanteni.
naomba kuuliza alfa gemz wamesha anza udahili wa watahiniwa wa kidato cha 5 kwa muhula wa masomo wa 2019/2020?
na je, ada yao kwa mwaka huu ni sh. ngapi???
na je, wana dahili wanafunzi wa comb za EGM?
naomba kuuliza kuhusu wale wanaorisit kama private candidate, nao wanapangwa form five na serikali kama watainiwa wa school candidate wanavyopangwa na serikali?
na je, post zao zinarushwa mtandaoni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.