Tuko wengi, Raha ndani ya CCM imepotea, sijui ni kipi kinasifiwa maisha yamekuwa
Magumu, malalamiko kila kona tunahitaji nguvu ya ziada kukirudisha chama madarakani
tunahitaji watanzania wa kutosha wasio na akili timamu ili kuweza kuendelea kutawala.
Tuseme hapana, miaka mitano imetosha maumivu...
Chama changu kimeharibu kabisa furaha ya karibu kila mmoja, Wengine tulikosa
la kusema tukaamua kunyamaa, lakini leo hata hiki kidogo cha kuangalia ITV, CLOUDS,
CHANEL 10 nacho mmetuchukulia EH! Chama changu kimezidi sasa, Wale wanaorudi
kutoka Upinzani mnasema mnatumia Busara kuwapa tena...
Wakuu hili jambo limenishtua kidogo maana rafiki yangu kamsafirisha mumewe kwenda nje ya nchi kufanya huo upasuaji. Sitaki kuzungumzia kilichopelekea kuchukua uamuzi huo, hofu yangu ambayo nataka nifahamu kutoka kwenu wadau ni
1. Je Operesheni hii haiwezi kusababisha kuua kabisa mashine...
Ni hiki tu ndicho ninachoweza kuzungumza katika wakati huu Muhimu tunaoelekea kwenye mabadiliko, Sijaona watu wanaoiunga mkono kwa nguvu kubwa CCM zaidi watoto wa viongozi, ndugu na jamaa wa wanaCCM hao ambao kwa namna moja wamekuwa wakinufaika moja kwa moja na mfumo uliopo.
Mfano: Tumesoma na...
Hili naomba nilielekeze moja kwa moja kwa madaktari mnaopatikana hapa Jf,
Tatizo hili limemuanza akiwa Mchanga na sasa ana miezi 9 nimejaribu mara kadhaa
kumpeleka hapo hospitali nimepewa vidonge lakini tatizo halijaisha
Mara nyingi akilia huwa kwa juu kwenye kinena panajaa na akiendelea zaidi...
Wakuu, nilikuwa simfahamu vizuri huyu kiongozi kutokana na umri wangu kuwa
mdogo wakati yuko madarakani, lakini baada ya kuka na wazee na watu tofauti
ambao wanakumbukumbu ya Utawala wake nimegundua ni chuki Binafsi tu ndiyo
itakayotufanya tukatae kuwa kipindi chake kilikuwa kipindi bora zaidi...
Nimeulizwa swali ambalo nimeshindwa kulijibu kutokana na kutokuwa na
uzoefu na mambo hayo.
Jamaa amekutana kimwili na mkewe Tar. 1.7.2013 Baada ya kukaa nje ya nchi kwa
miezi sita, baada ya kuondoka akapewa taarifa kuwa mkewe ni mjamzito yaani kuanzia tar 1.7.2013
sasa kinachomshangaza Tarehe...
Wale wanaozitoa huanza na maneno kama LAANA au AIBU na mengine
ambayo watoaji hujifanya kama wamesikitishwa huku wakiwa miongoni
mwa waliozisambaza, Huu ni unafiki tu hata watazamaji nao ni wanafiki
ni bora kuzitazama kimya kimya kuliko kujifanya mara Mungu hivi mara
vile kama ni kweli...
Hivi vitu vinatajwa sana mtandaoni lakini najikuta kama nimepitwa na wakati bado sielewi chochote kuhusu WHATSAPP na ANDROID naomba kwa yeyote mwenye ufafanuzi nzuri kuhusu vitu hivi anifafanulie.
Habari za asubuhi kaka zangu na dada zangu, Leo nimeamka nikijiuliza
Swali hili, HAKUNA DIKTETA ALIYEBAKIA KATIKA AFRIKA?
Ukiacha hawa wanaoitwa Dokta/dakta .............................. hakuna
Dikteta................................. Mbona kuna baadhi ya maraisi hapa
Afrika wanafanana na...
..... Siku hizi amekuwa kama anachanganyikiwa anamuwaza
huyu mke wa pili. Ameuza nyumba 1 kati ya mbili alizonazo
kisha kamnunulia nyumba huyu Mwanamke. Hajipendi tena
siku hizi amekuwa mchafu anakonda, matumizi yake yamekuwa
makubwa kuliko siku za nyuma.
Huyu mwanamke anaonekana waziwazi...
Nilifungiwa toka Mwezi wa Tisa, yaani kama Mandela vile
Leo ndio nimefunguliwa, Nimewamiss sana Rafiki zangu
Lakini nasikitika nimeingia nikiwa mpya kabisa kwani
nimeshavishwa pete na nilikosa kuwaalika katika tukio hilo
Muhimu ambalo lilifanyika Eneo la Msamvu pale Morogoro
Nawapendeni...
Jamani naomba ufafanuzi juu ya hili jambo ambalo nimelisikia
hivi karibuni, eti wanaume wenye maumbile makubwa wana
uwezekano mkubwa zaidi wa kuambukizwa au kuambukiza
magonjwa ya zinaa hususani UKIMWI kuliko wale wenye
maumbile madogo?
Eti wanaume wenye maumbile madogo wana nafasi ya...
Jamani tupeni matokeo, sijui Jirani yangu ameshinda maana
jana kulikuwa na watu pale kwake usiku kucha wamekesha
huku wakiwa wamewasha ubani na kuongea maneno yasiyoeleweka.
Ni utafiti usio Rasmi, wagonjwa wengi wa kisukari ni wanaume kuliko
wanawake. Hii inatokana na takwimu nilizonazo mwenyewe, asilimia 95
(95%) ya wagonjwa wa kisukari ninaowafahamu au niliowahi kukutana nao
ni wanaume.
Kama ni kweli naomba ufafanuzi kutoka kwenu hii inatokana na nini?
MAELEZO...
Heshima kwenu wakuu, Naomba kufahamu kama hii kitu inawezekana hapa
Tanzania, kama inawezekana ni sifa na taratibu zipi zinahitajika ili kuanzisha hiyo
kitu, Je imewahi kuwepo hapa nchini?
Mara nyingine unaweza kujiuliza kwanini mtu kachagua ID fulani, Unaweza kucheka, kuchukia au kubaki kawaida na maswali yako. Kwa upande wangu nastahili kuitwa/ kujiita mcharuko. Naongea kutoka moyoni kwa sababu naamini ni Mungu pekee ndo ananijua vizuri kwa wengine hapa jukwaani nitaendela kuwa...
Ukisikia malaya ni mwanamke, kahaba ni mwanamke, changudoa
ni mwanamke, dada poa ni mwanamke, nyambizi ni mwanamke
siku hizi kuna MJASILIAMWILI ni mwanamke. Hivi ninyi wanaume
tuelezeni hapa kama kungekuwa na kipimo kila uki... kinaonyesha
Mita kadhaa au kilomita........ Kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.