Tuko wengi, Raha ndani ya CCM imepotea, sijui ni kipi kinasifiwa maisha yamekuwa
Magumu, malalamiko kila kona tunahitaji nguvu ya ziada kukirudisha chama madarakani
tunahitaji watanzania wa kutosha wasio na akili timamu ili kuweza kuendelea kutawala.
Tuseme hapana, miaka mitano imetosha maumivu...
Hata nikikuambia hapa haina maana, maana imeshindwa kutekeleza majukumu ya msingi imebaki kuwatia hasara
Watanzania kwa kusababisha marudio ya chaguzi.
Chama changu kimeharibu kabisa furaha ya karibu kila mmoja, Wengine tulikosa
la kusema tukaamua kunyamaa, lakini leo hata hiki kidogo cha kuangalia ITV, CLOUDS,
CHANEL 10 nacho mmetuchukulia EH! Chama changu kimezidi sasa, Wale wanaorudi
kutoka Upinzani mnasema mnatumia Busara kuwapa tena...
Wakuu hili jambo limenishtua kidogo maana rafiki yangu kamsafirisha mumewe kwenda nje ya nchi kufanya huo upasuaji. Sitaki kuzungumzia kilichopelekea kuchukua uamuzi huo, hofu yangu ambayo nataka nifahamu kutoka kwenu wadau ni
1. Je Operesheni hii haiwezi kusababisha kuua kabisa mashine...
Kushambulia studio na kulazimisha kurushwa habari ya hawara wa Gwajima
haisaidii,
Nafikiri kinachotakiwa ni kubeba vyeti kuanzia Primary school mpaka chuo
ambavyo vina jina moja tu, nafikiri linafahamika!
Hapo kelele zote zitakuwa zimeisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.