ni kweli lowasa anakashfa za ufisadi... ninani ambaye hana kashifa za ufisadi? nani atakuwa raisi wa nchi asifanye ufisadi? lowasa anajua uongozi ni nini na ana uwezo mkubwa wa kuongoza hii nchi kuliko maraisi waliopita.
habari za usiku wadau, leo nimepata e-mail kutoka yahoo na window eti nimeshinda pound laki 8, hii ni sehemu tu ya hiyo e-mail, je huu si utapeli wa kwenye mtandao wadau?
NAUZA TVS KING , BEI Mil.3 MAELEWANO YAPO, IPO KATIKA HALI NZURI KAMA INAVYO ONEKANA KWENYE PICHA. INAFANYA KAZI MAENEO YA MBEZI MWISHO. IMESAJILI KWA MARA YA KWANZA NCHINI TAREHE 25 JAN 2011. KWA MAWASILIANO PIGA 0713 939776
Naombeni msaada wenu wadau, hivi unaweza kupata internet service kwenye simu ya blackberry storm 2 kupitia mitandao ya hapa nchini? Naombeni msaada wenu Plz!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.