Naomba kujuzwa eti bodi ya mikopo tayari wameshatoa form za kuomba mikopo kwa form six leaver??? Nijuavyo huwa wanaanza baada ya matokeo kutoka....ila kuna mtu kaniambia wameanza....msaada wadau kwa mwenye taarifa rasmi
Habari zenu wannajamvi..naomba kuuliza juu ya hawa wakorea wenye kituo cha seragem..je? zile mashine zao zinasaidia?. Yoyote mwenye uthibitisho wa kuona aje hapa anihakikishie..
Nina binti yangu ana 1.8 year.. alipata homa ya uti wa mgongo kwahiyo ikimsababishia celebral palsy. so mpaka sasa...
Hiyo ni celebral palsy..jaribu kumpeleka kwenye speech therapy na mchanganye na watoto wenzie..ataongea tu usijali...binafsi niko kwenye changamoto kubwa kama hiyo.
mi mwanangu aliumwa homa ya uti wa mgongo leo katimiza mwaka na miezi nane hawezi kukaa bado..pia Maombi muhimu tuwaombee sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.