Habari zenu!
Naombeni msaada wa namna ya kupata mkopo wa haraka sana wa kiasi cha mln 5 hadi 10
Mimi nafanya kazi katika mashirika binafsi kwa miaka 6 sasa. Na shirika hili tunapewa mikataba ya mwaka mmoja mmoja, hivyo nimejaribu kwenda kwenye taasisi mbalimbali za mikopo naambiwa nipeleke...
Acha kumpoteza mwambie aachane nae huyo amashapata alichotaka basi . Cha msingi aache kupenda kwa kutumia moyo atumie akili kupenda . Bora kuvunja uchumba kuliko ndoa kujitambulisha kitu gani bwana
Acha kupenda kwa kutumia moyo utaumia mdogo wangu penda kwa kutumia akili . Huyo ameshakujua ameona huna faida kwake sasa anakutesa tuu pili naomba nikuulize umeshawahi kuumizwa mara ngapi au kuumiza mara ngapi?. Achana nae bora kuvunja uchumba kuliko ndoa .#Hutaki unaacha
Sasa unashangaa hiyo elf 20 wakati last time nimetumia perfum inaitwa USHER ya USHER RAYMOND INAUZWA LAKI NA USHEE KWA MADAFU .HAPA BONGO NIMEITAFUTA POSTA CKUIPATA KIPIND FLAN. BUT HIYO NDO PERFUME BOMBA UNAKAA KWENYE KOCHI MWEZ MZIMA HARUF BADO IPO
Huyu jamaa hana akili mimi mwanaume na akili zangu niliweka picha ya mama yangu kwenye profile ya whatsapp akadhan ni mwanamke akaanza kunitongozha mpuuzi huyu na ulevi wa madaraka .nilimuonya nitamuharibia kama hanijui akaniomba radhi dadeki:thumbup:
Hakuna kufanya kazi ya kanisa hapa eti upigwe tuu na wewe ukae kimya nasema hivi wakiwapiga na nyie wapigeni kwan si vipigio mnavyo??? Hapa walahi hakuna cha ukipigwa kulia geuza na kushoto
Wazungu 0712.. ni kawaida mimi mdogo wangu aliachana na demu wake mzungu koz alikuwa anataka amle 0712.. dogo akasema siwezi kula hiyo kitu so kama upo tayar kwa hilo niambie nikutafutie mzungu
Unamzungumzia wasira yupi huyu anayekuja kanisani sabato jumamosi kachelewa saa 3 na dk 45 wakati ibada inaisha saa 4 na anasinzia pale magomeni SDA au yupi huyo???? . Labda kama zamu ya msabato kuongoza nchi lakin sio vinginevyo
Asee mudy physics alifanya nikawa mchunguzi wa mambo kwa stail ya ufundishaj wake tokea form two enzi hizo kidogo mchikichini ndo ilikuwa shule yangu huku kwingine walimu class walikuwa shallow than they actual are walimu wa voda faster mtiga ni hataree
Hapa nahisi kuna ujanja ujanja kwa ajili ya kujisafisha kama serikali na wizara na vyombo vyake husika THINK BIG my fellows. Kuna kitu nyuma ya huyu jamaa aliyekamatwa mm katka preliminary stage naweza sema ni ishu ya kiusalama zaid na kufisafisha mpaka pale nia ya dhat nitakapoiaona ANGALIENI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.