Me naona sisi kama watz 2nahitaji ukombozi wa fikra, nimesema hivyo kwa sababu kuna watu wengi sana hapa tz ambao wanaamini tz ha2wezi 2kawa na maisha bora na siasa safi kwa hiyo hata wakiona uchafu nao wanauendeleza coz wanaamini kila mtu ni mchafu..ukombozi wa fikra jamani ndio jibu
Kenyata next tym b careful haya uliyoyasema hapa usijaribu kuyasema hadharani utatemeshwa moyo..nawsh 2mit face2face, ukija tz nitafute nitakupa darasa la jinsi ya kuishi na watz coz nina wasiwasi na usomi wako
Me binafs siku tano za wiki nakuwa busy sana na siku mbili ni za mapumziko, siku moja naitumia kusocialize na marafiki na ndugu na mitoko ya hapa na pale na siku ya pili huwa ni napenda kuwa peke yangu nisome vitabu na kufanya ibada pamoja na kutumia muda mwingi kutafakari maisha yangu
je wewe ni mzalendo? Kama jibu ni ndio ni kitu gani cha maana ambacho umewahi kuifanyia nchi yako? Kama kweli unataka watz wabadilike anza wewe usiwe kibao cha matangazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.