Wana jf naona haya mambo sasa inabidi tumwachie Mungu mwenyewe ndio mweza wa kila kitu.Mimi naamini kama mwenyezi Mungu alikupatia elimu nzuri basi ipo siku moja pia atakupitia kazi nzuri, cha msingi nikuwa wavumilivu tu.
Dah! kwakweli kama ndio itakuwa hivyo basi tena maana hata mm niliaplai huko na wala sijasikia chochote zaidi ya haya ninayoyaona humu ktk JF,Ila wadau wenzangu tusikate tamaa naamaini ipo siku tutakuwemo ktk list hata kama sio UDOM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.