"huwezi kupata kazi hata ya kukata tiketi pale ubungo..nsff ndo nini?hebu kwenda huko...akili huna unataka kusumbua watu hapa..nenda kalime "
Common sense is not common to every body
Big up sana man, maana mi ninatatizo la nguvu za kiume pia. huwa najitahidi sana nisitumie vidonge vya chemicals, thanx God i hope nimepanta njia mbadala. kwa kuongezea tu ni tunda gani also linaongeza nguvu za kiume ukiacha asali maana huku kwetu asali ni mtihani mkubwa sana katika upatikanaji...
achana nae he was not meant for you, 7 years hajabadilika hatabadilika kamwe, Do not west time for non sense. ni pepo huyo atakuuwa either kwa maladhi au atakupiga akutie ulemavu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.