Hivi ni kweli walioshindwa Igunga hawakutumia fedha? hebu tupunguze msukumo wa kiitikadi .... ile Midege isiyo na matairi haikuwa Gharama? kuwasafirisha wahamasisashaji katika kila chama haikuwa gharama?
Hii story na wasiwasi sana itakuwa imetengenezwa..... bila shaka walitaka ujumbe "Marriage is about love, not faces" utufikie.... Kwani sijapata kusikia imani ya dini yoyote au mila na desturi ya kabila fulani linalo wakataza mume na mke kuonana hususani wakati wa faragha......
Bado wa cuf hatujamsikia....... Cuf Wapi? Sema kitu..... cuf wameshinda kwa ngapi?
Aisee tuache porojo waungwana Tunahitaji matokeo ya kuaminika..... hatutaki tetesi sasa... maana mtatuua wengine kwa presha
Hebu tuambie upo nchi gani, maana wanawake pia wanajibiwa kulingana na mila na desturi zao........hebu funguka kidogo, alianza lini hako kamchezo cha kukutaka.... na alianzaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.