Hizo enzi zako unazosema, tungelikuwa na viongozi hawa tulionao kwa wakati huo, leo hii tusingeonana hapo JF. Nakuachia utafakari au ni chuki binafsi au ni nini????
Ngugu mwana JF
JKT ilitukutanisha watu wa kutoka kila kona ya nchi yetu na fani mbali mbali, hii leo kwa aliyepitia JKT karibu kila ofisi atakayoingia atakutana na mtu walipitia pamoja jeshini. lilitujengea umoja ambao thamani yake ukiwa na mtizamo finyu utaona kama ilikuwa ni kupoteza mda...
Kule Angola bwana Jonas Savimbi alihangaisha sana maisha ya wanaangola lakini baada ya vita ya mda mrefu bila kuchoka aliuawa na ndo ukawa mwisho wa matatizo kule Angola. Hata DRC inabidi wafanye kweli kama walivyofanya Angola, watumie makomandoo wanaoweza kumfikia huyu nduli mwuuaji nkunda na...
Kule Angola bwana Jonas Savimbi alihangaisha sana maisha wa wanaangola lakini baada ya vita ya mda mrefu bila kuchoka aliuawa na ndo ukawa mwisho wa matatizo kule Angola. Hata DRC inabidi wafanye kweli kama walivyofanya Angola, watumie makomandoo wanaoweza kumfikia huyu nduli mwuuaji nkunda na...
Kwa wana JF
Katika uzoefu wangu kutabiri kuwa JK atabadili mawaziri hili linawezekana lakini kutabiri na watakao teuliwa kama bwana Charles Mullinda wa Tanzania Daima alivyoandika hilo haliwezi tokea kwani itakuwa ni sawa na kumwambia mteue mtu fulani wakati kazi ya kuteua ni yake na wataalamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.