Kama mda inavyojieleza rafiki yangu anauliza njia nzuri ya kudai haki yake anauhitaji ila boss wake hajamlipa pesa week ya 3 leo toka mwezi umekishwa tunaombeni ushauri
Habari za mda huu wakuu
Utachukuliaje pale rafiki yako anapokuwa na tabia hizi.
Unarafiki ambaye pale anapopatashida anakuitaji umshauri atakusumbua ata usiku wa manane umuweka katika mood ila wewe unapokuwa haupo sawa ulihitaji ukaribu wake hakupi ushirikiano utachukua hatua gani?
Nb...
Kuna kitu kimenishangaza kidogo jana nimetumiwa message ya kuachwa na mdada ambae hata sikufahamu kama tulikuwa katika mahusiano, tulikuwa na mazoea tu mwezi wa 12 akasafiri kwenda kwao amerudi majuzi tukawa tunaongea vizuri tu.
Jana usiku saa moja anasema bora tuachane anashukuru kwa upendo...
Sio tu Mwanza tuseme Kanda ya Ziwa hii kuna tajiri kumzidi huyu jamaa anaemiliki kampuni ya utengenezaji mabomba?
Kununua Sahara mjini kati sio mchezo na kujenga ukiamka tu unaona ziwa Victoria kwako sio mchezo, kuendesha gari kali za kimarekani sio mchezo kabisa
Huyu kijana anatoa inspiration...
Speaking from my experience kiukweli leo nilitembelewa na ndugu yangu wa kike ambae huwa ana mambo za KIGANGA ni mtu mzima sana tuseme bibi
Amefika tumeongea akasema kuna kitu anataka kunifanyia kaangalia viganja vya mikono na kuanza kuniambia vitu
Vingine ni ukweli asilimia 100 kabisa vya...
Kwa nilivyoona speech yake kwenye press ya jana ni asilimia 100 kuwa Ahmed Ally ni mwehu kabisa maana anaongea vitu vya kipumbavu kabisa.
Nina mashaka na elimu yake huenda hana elimu, ni chawa mmoja mzuri, ni type ya watu wanaoweza kuwa potential kwa CCM.
Aina ya watu walaghai, nimemshusha...
Msijifanye hamjaona walichokifanya AZAM uko chamanzi aisee Mimi nmeshangaa mbona alikuwa anaanzia bechi
Kwakweli Azam wamejipata team ambazo hazijacheza na AZAM mjipange sana KIPRE JUNIOR aisee uyo mtoto anajua adi anajua tena keshapiga hatrick na goal Bora la msimu
SIMBA MJIANDAE KUKUNWA KUNAKO
Hakika baada ya mji wote kuteswa na kunyanyaswa na DANGOTE Kijana aliyezaliwa mwaka 2005
Nachelea kusema Wanawake na Wanaume wa ARUSHA wote ni ma ZUCHU tu
Yule mtoto alikuwa sio wa kusumbua popote yule alitakiwa kupigwa na vijana wawili tu
Nimesikia na kuona VIDEO clip ya FIDOVATO akitamba...
Huyu kiungo nondo wa Taifa stars na Azam. Hakika anakosa watu wa kucheza Nao tu pale Taifa stars ila ni kiungo mmoja mzuri na mkatili sana.
Sifa zitazomfanya awe CAPTAIN national team ni uwezo wake wa kuongea lugha ya kingereza Kwa ufasaha kiasi tofauti na wachezaji wa SIMBA mfano ZIMBWE...
Ushauri huu Kwa beki wa YANGA BACCA hakika tumekiona kiwango chake cha halali akiwa hana HIRIZI pia suala la kumshauri.
Ajifunze ENGLISH COURSE Leo Ile faulo aliambiwa na samata URUKE MPIRA KWA KINGEREZA SI AKAPIGA MOJA KWA MOJA.
Kwa mliangalia uwezo wa uyu mdada walahamuwezi kubisha kabisa anaujua mpira haswa tena haswa kipaji chake kinaweza kulingana na Cha AZIZ K
Ni fundi haswa wa Mali huwezi mkinai kumuangalia.
Uyu mchezaji wa Mamelody amekuwa akinichanganya sana ni mtu wa ku shape CHARACTER SANA
Anaitwa AUBREIN MODIBA
Mwenye anajua number anayocheza ananiambia maana kuna Mda namuona kama beki kuna Mda kama kiungo kuna Mda kama winger na Kila nafasi anayo shift anacheza kama mchezaji wa nafasi iyo...
Aisee uyu bishoo wa YELLOW NATION [emoji169]
BONGANI ZUNGU anakojoa pazuri sana kama kuna mchezaji unaemjua ana mke MZURI kumzidi jamaa mpost tuone ila zungu ni [emoji119]
Najua wengi Jana tuliuangalia mpira wa Mamelody vs Al AHLY lakini ni wachache tulioangali Kwa jicho la tatu na kung'amua vipaji haswa katika kikosi kile.
1. Kuna beki mmoja wa kati kitasa haswa sura ya mama anaitwa GRANT KEKANA
Uyu bwana mdogo matumizi ya akili ni makubwa mno sawa na umchukue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.