Habari ya siku nyingi.
Kweli kama vile mkate mgumu ukiwekwa kwenye chai unavyokuwa ndivyo hivyo na wanaume tunavyokuwa mbele ya wanawake kunako 6*6, na ndiyo maana katika moja ya njia ya mwanamke kukudhibiti na kukupa maumivu ya moyo ni kukunyanyasi tamu yake hakika maana kukupiga mwanaume...
Nimegundua wanaume waoaji na wenye nia ya dhati kuoa na kuishi na mke maisha ya kumpendeza Mwenyezi Mungu tupo tukianza na mimi ila kuna ugumu mkubwa na upinzani mkali sana katika kutafuta mke mwema, na usipo kua mwangalifu unaweza ukajipatia mental disioder hivi hivi.
Sasa ili kujilinda...
Heri ya mwaka mpya na habari za siku nyingi.
Mwaka jana nilikutana na huyu binti wa kirangi katika mazingira yangu ya kazi, sikujua kama ni mke wa mtu tukawa kama marafiki huku nikimsaidia mambo ya hapa na pale ila katika utani utani baina ya mwanaume na mwanamke nikajikuta na mtongoza alikaza...
Wanawake tunawatongoza kwasababu tuliambiwa tuwapende, hatupendi kuishi wenyewe wapweke ndiyo maana tunawafata.
Inasikitisha sana mwanamke unamtokea alafu anakujibu tuu direct
1: "SIKUTAKI"
2: HUNA HADHI YA KUA NA MIMI
3: ANAKUPANDISHA NA KUKUSHUSHA ALAFU ANATEMA MATE CHINI ANAONDOKA ZAKE...
Salaam sana.
1: Je, ni sahihi kumpa hela pamoja na matunzo mwanamke ambaye hujamuoa kabisa kwa kisingizio cha uchumba kuwa wanadai matunzo na vihela vidogo vidogo?
2: Je , ni halali kumpa 50,000/= kila mwezi mwanamke kama hela za kumtunza ilihali wazazi wake wote wapo na pia ukizingatia kwa...
Habari,
Naomba niwatake wale wote wanaidhani mimi siyo muoaji au nipo hapa kupiga watu na kitu kizito kwa kulinganisha technical and fundamental analysisi ya trend za nyuzi zangu humu JF watoefikra hizo na watambue mimi nipo serious kutafuta mke mwema wa kuoa na pia naombeni mniombee...
Najua mtaona na wasumbua sana na kunichoka ila nahitaji matumaini ndani ya nafsi yangu . Sipo sawa kabisa nikiri mbele yenu.
Nisaidieni mawazo nilikua na meza hadi amitrilia nimebadilishiwa na meza phenobabitoni ila nazo zimegoma wakuu nafsi yangu imegoma kutulia kabisa.
Kila nikijaribu kukataa wanawake siwezi. Napata msongo mkali sana wa mawazo wanawake wame nitibua hata ladha ya mapenzi siijui tena .
Nahitaji matibabu ya kiakili,kifikra, dawa au sindano kama zipo ili nafsi yangu na moyo wangu utulie.
Mimi nimejitahidi sana kunywa pombe kali, kushinda bar ila...
katika hali isiyo ya kawaida , hawa wanawake sijui kichwani mwao wanawaza nini wanapofika maghetoni
Yani mimi kweli kabisa sipendi haya mapicha picha yao
1: Kuanza kujibebisha, kusimama mlangoni na kujikalisha kweye makochi hovyo hovyo badala ya kukaa kwa kitanda.
2: sitaki mwanamke aje gheto...
Habari.
Kupitia kisa cha samasoni na delila je nyie mmejifunza nini kuhusu hawa wanawake muwapo nao kwenye mahusiano.?
Mimi naona
1: KATAA NDOA , NDOA NI JEHANAMU YA MOTO KWA MWANAUME
2: MWANAMKE NI KIFO KWA MWANAUME
3: MWANAMKE SIYO MTU WA KUMUAMINI NA KUMWELEZA MAMBO YAKO
4: ISHI NA...
Wakuu kumekucha,
Katika haya mahusiano yangu naona kabisa huyu mwanamke atakuwa ni dada poa wakuu , napata mashaka nae sana , tena nahisi kabisa ni dada poa wa weekend ni vile bado sijamfumania kwa macho waziwazi ila kila nikiunganisha dot naona kabisa huyu ni dadapoa.
Nahisi hivi maana kila...
Habari.
Napenda sana wanawake , yani na wapenda sana wanawake kwa kweli, siwezi kuishi bila wanawake kwenye hii dunia hata niwe na utajiri kiasi gani kweli si wezi kuishi bila mwanamke hakika
Ukweli ni kwamba mimi napenda sana jinsia ya kike , naipenda tuu zaidi ya kingine na ndivyo nilivyo...
Ndugu zangu mimi ni kijana miaka 32+, sina mtoto,mkristo na mpambanaji.
Natafuta mwanamke wa kuoa
*Asiwe na mtoto au kutoa mimba au kutumia dawa za uzazi wa mpango
*Awe mke mwema kwangu
*Mama bora kwa watoto Mungu atakao tujalia
*Awe na umri wa miaka 18-25
*Awe mvumilivu maana maisha ni...
Kama kichwa cha habari kinavyo sema,
Hapa nilipo nina wapenzi wengi sana na hata sioni mke kabisa, yani kila mpenzi wangu ninaye muangalia naona hafai kua mke, nashindwa kuelewa nyie mnapata wapi hao wanawake mnao waoa , napia ukiwa na mwanamke utajuaje huyu sasa ni wa kumuoa na awe mke wako...
Ndugu wana jf, baby wangu mpya ananipa changamoto sana ila anafanya na tumia akili kubwa sana,
Sihitaji hasira wala kuchukia chukia japo wakati mwingine akiwa anakonyeza konyeza najikuta moyo unawaka kama umewekewa pasi.
Ndugu sasa maomivu ya mapenzi bye bye... Napendwa na ninapendeka...
Huyu mwanamke alikua na shida sana na hakukua na mtu wa kumsaidia kiwango cha hela alichokua anaomba, alijaribu kukopa kwa kila mtu ila hakuna aliye mpa na mwishowe nikaona acha ni mkopeshe maana kidogo uwezo ulikuwepo, nilimkopesha takribani shilingi laki tano taslimu (500k) na yote haya ni...
Ndugu zangu kwa masikitiko sana..
Nasikitika kuwaambia nilipanga kumtelekeza huyu mwanamke ila ghafla sana uume wangu nahisi umekuwa wa baridi na nyoro nyoro, ndugu hisia zimepotea hakika niwapo na mwanamke mwingine tofauti na yeye misuli haikamati kabisa.
Wakuu network hazikamati, baridi kali...
Habari zenu wana Jf.
Katika maisha na mazingira ya kumfukuzia huyu binti alinisumbua sana wakati na mtongoza kiasi cha kujikatia tamaa sana na kumpuuza mno. Nakumbuka nilimfukuzia yapata miezi mitano mfululizo huku nikimsihi, kumbembeleza na hata kutafuta basi huruma zake japo kidogo bila...
Ndugu wana Jf sipo hapa kukashifu wanawake wenye mashepu yao na walio jaliwa vichuguu ila nipo hapa kujua ni kwanini wanawake waliofungasha akili zao hazina akili.
Naya sema haya baada ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kirafiki na wanawake wa aina hii, wakuu wanawake wa hivi kabisa ukiwa nao...
Salaam sana ndugu zangu.
Najua mahusiano ya sasa hela imewekwa mbele na hawa dada zetu kausha damu kama siyo roho ya mtu basi hela ipo mbele kwa mbele nasiyo vinginevyo.
Kwa mantiki hii ndugu zangu wana Jf mimi nakuja kwenu naombeni ushauri yapata na wanawake kadha wa kadha naombwa hela kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.