R.I.P Major General, namkumbuka sana huyu mzee,leo nilikuwepo msibani ambapo shughuli zote had kuaga mwil wa marehemu zilisimamiwa nj JWTZ wakiongozwa na MP. AMBAPO AMIR JESHI MKUU RAIS JK ALIKUWEPO. MAZISHI YANATEGEMEA KUFANYIKA LEO JION HUKO ZANZIBAR
Ni kweli nimeambiwa kuna vurugu zinaendelea na hii inatokana na Imani za kishirikina.
Chanzo cha yote inasadikika kulikuwepo na wachawi watatu walikuwa wanasafiri kwa ungo, wakati wanapita maeneo ya karibu na nyumba ya Diwani ndipo wakaanguka. Diwani akachukua uamuzi wa kuwahifadhi nyumbani...
kosa la marehemu sijafanikiwa kulijua mana mabomu ya machozi yalikuwa yanapigwa ndipo tulipo pata nafasi ya kupita ila kwa sasa hali ni mbaya vurugu zimekuwa kubwa na magar hayapiti kabisa
Wananchi wa kibiti wameziba barabara kwa mawe na magogo kutokana na kitendo cha polisi kumpiga hadi kumuuwa mwananchi mmoja hapo jana,mabomu ya machozi yanapigwa na polisi wanazidi kuongezeka toka Kibiti .
Source;MIMI MWENYEWE NIPO SAFARINI KWENDA MTWARA
Nimefurahishwa sana ndugu Ukana Shilungo mana wameifanya kusini ndio ngome yao na wametuona wajinga ila kwa sasa wakati wa kuikumbatia NyinyiM umekwisha. VIVAA KUSINI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.