Wakuu Habari za muda huu.
Naomba kujuzwa je biashara mfano wa fundi pikipiki(wale wa mtaani),mamalishe,fundi kuchomolea na wengineo wanatakiwa kuwa na leseni? Na ni kiasi gani? Vipi kama mtu ana kitambilisho cha mjasiriamali?
Biashara iko Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Dar Es Salaam...
Habari za jioni wanabodi.
Natafuta eneo la kukodi kwa ajili ya biashara ya gereji jijini Dar Es Salaam.
Maeneo pendekezwa
Buguruni
Tabata
Kinyerezi
Natanguliza Shukran zangu za dhati kwenu wanajukwaa.
Wakuu niko hospitali kwenye foleni. Mara namsikia Mzee mmoja akimwambia Nesi maneno kuwa "Mtoto wa kiume akishaoa sio wako tena".
Tunafeli wapi wanaume wenzangu na hawa wazee wetu??
Wakuu habari ya leo.
Nina wazo la kununua guta la pikipiki kati ya Wanhoo au Toyo.
Nafikiria kumpa mkataba kijana kwa hesabu ya 20,000/= kwa siku kwa muda wa miezi 24. Eneo la kazi ni Tanga Mjini.
Wadau wenye idea na biashara hii naomba muongozo wenu.
Natanguliza shukrani.
Tende zinapatikana.Box moja 10kg.
Bei 56,000/=
Tunapatikana Dar es Salaam
Tunafanya delivery/Tunafikisha mzigo
Mawasiliano: 0767941735
Karibuni Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Jipatie viatu vizuri mno kwa bei nzuri
Sebago 48,000/= Slippers 18,000/=
Tunafanya delivery.
Tuko Dar es Salaam
Mawasiliano 0656838727
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.