Habari za jioni wadau,
Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi?
Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote.
Habari za saa hizi,
Wadau ninaomba msaada kwenu kwa wenye uzoefu juu ya hii kitu inayoitwa digital sim nimenunua simu Iphone 11 dual sim baada ya simu kunifikia nikagundua kwenye tray ya kuweka simu hamna sehem ya kuweka line ya pili lakini ina emai mbili na kwenye settings inaonesha kuna sehem...
Sasa ni rasmi serikali imeziunganisha benki ya TIB investment na TPB Bank zamani Benki ya Posta na sasa ni benki moja. Nadhani serikali ya Rais Magufuli sasa hivi inataka kuwa na benki moja tu ya serikali hopefully itakuwa mkombozi kwa wananchi especially kwenye suala zima la mikopo sababu benki...
Habari za jioni wadau ninataka kusafiri kutoka Arusha kwenda Dar Es Salaam na mbwa wangu nilikua naomba kwa wanaofahamu namna gani naweza kusafiri na mbwa wangu kwa kutumia usafiri wa public Ka mwenye uzoefu msaada tafadhali
Habari za muda huu wadau,
Nilikuwa nataka kushare na nyie jambo flani lilinikuta this week ili tujadili kidogo. Kuna mschana flani nilikuwa nampenda long time lakini sijawahi kumwambia ila tulikua tumezoeana kimtindo sasa juzi kati nimerudi kitaa nimemkuta na yeye ndio amemaliza form 6 yupo...
Wanajamvi,
Mi naombeni tujadili hili ni tatizo au ni kitu gani manake kwa siku za karibuni nimetokea kuwatamani wanafunzi wa kike sana kiasi kwamba nikiona mwanafunzi ndani ya uniform nachanganyikiwa sana hasa wanafunzi wa sekondari.
kuna mtu ananiuzia dell inspirion 5421 touch screen kwa laki mbili na themanini ni used lakini sio sana je nichukie au manake na wasi wasi labda itanisumbua
Wakuu,
Nilikua napenda kuuliza kuhusu gharama za kununua vipindi vya televisheni. Kwa mfano hawa wagombea wa CCM wanaotangaza nia wanalipa bei gani vipindi vyao kurushwa?
Katika maisha yangu sijawahi kupata msichana mzuri yani wasichana wote ninaowapata wabaya alafu wote wanakua wamenizidi umri. Inanidisapoint sana coz wasichana wazuri wote wanaishia kuwa friends tu.
Nilikua naomba msaada katika hili
naomba mwenye kujua cv ya huyu jamaa au kiwango chake cha elimu maana chuoni kwetu kesho kuna philosophical forum na yeye ndio mzungumzaji mkuu so nlitaka kujua uwezo wake intellectually.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.