Nacho fahamu mimi wafungwa huvaa nguo za rangi ya orange au karoti. Lakini siku moja nipo sehemu nikaona askari Magereza wakiwa wamebeba wafungwa wenye sare za rangi ya bluu. Vipi zile za rangi ya karoti zimebadilishwa?
Naomba kufahamu kuhusu hii adhabu na mahali inapotekelezwa mtu anapohukumiwa?
Pia ni makosa yapi ambayo mtu akiyafanya hupelekea kupewa hii adhabu?
Nani anatumika kuchapa viboko hivyo na hutumia kiboko gani; cha mti au ile ngozi?
Nahitaji pia kufahamu na mengine mengi unayoyafahamu kuhusu...
Wakuu hili ni pendekezo kama itawapendeza majeshi haya mawili ya Magereza na Zimamoto yabadilishiwe Uniform kutokana na sababu zifuatazo.
Jeshi la Magereza. Hili jeshi mpaka saivi haieleweki rangi halisi ya SARE yao ni ipi kwa sababu wakisimama kikundi cha askari utaona kila askari anarangi...
Najiuliza waliwaamini vipi hao Raia tena wakigeni kupiga picha na Rais kama hivi?
Kwamba waliona yule Kanali angesimama hapo nyuma ya Mama kama ilivyo kawaida yake waliona atachafua hizo picha au?
Madaktari na wataalamu wa afya naombeni msaada wenu tafadhali kabla sijatumia hizo dawa hapo nilikuwa vizuri tu nikiamka asubuhi nakuta mwamba kasimama dede.
Lakini tangu nitumie hizo dawa japo sikuzimaliza zote nilibakiza kama tano hivi baada ya kuona hiyo hali uume ulikuwa hausimami na mpaka...
Wakuu naongea kwa ushahidi kabisa kilipo kituo kikuu cha Polisi Arusha kuna kamsitu pembeni na ndani ya hako kamsitu kuna njia za waenda kwa miguu wanapita basi imegeuka fursa kwa vibaka na mateja kuwatapeli waenda kwa miguu wakijifanya ni polisi.
Hao vibaka na mateja wanatapeli watu kwa njia...
Huu ndio ushauri wangu kwa serikali na vyombo vya usalama kutumia aina hii ya polisi au ajenti mwenye uwezo wa kujichanganya kwa raia ndani kabisa bila kujulikana kwa lengo la kutambua vikundi viovu.
Aina hii ya utendaji kazi inafaida ya kumtambua mhalifu pasipo shaka yoyote kuliko kuwasomba...
Wanawake sijui siku hizi wamekumbwa na nini aisee yaani UTI na magonjwa mengine haya ya zinaa kwao imekuwa kawaida.
Yaani siku hizi ukilala na mwanamke peku bila kutumia kinga basi zikipita siku mbili bila kuona uchafu au kusikia tofauti wakati wa kukojoa basi unamshukuru Mungu.
Wanaume hawa...
Ni ipi rangi halisi ya sare ya Jeshi la Magereza Tanzania kati ya hizi zinazo onekana kwenye hii picha?
Mheshimiwa Rais na Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia chonde chonde hili jeshi naomba ulibadilishie sare.
Kamishina mzee ongea na Mama askari wa jeshi...
Mkoa wa Mara ndio mkoa unao ongoza kuwa na makabila mengi hapa Tanzania kwani unakadiriwa kuwa na makabila zaidi ya kumi na sita (16).
Kabila la wakurya ni dogo sana linalo patikana wilaya za Tarime na Serengeti na ni watu wapole na wastaarabu sana wenye mapenzi ya dhati wavumilivu na wakarimu...
Mara nyingi huwa tunasikia watu kuamua kujiua kwa njia mbalimbali kama kujinyonga n.k. Baadhi yao wakiacha ujumbe walio uandika kabla ya kuchukua hatua hiyo ya kujitoa uhai na ndani ya ujumbe au barua hii amemtaja fulani kuwa ndio chanzo cha yeye kuamua kujiua.
Tuchukulie mfano wale wazee wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.