Kama nimekupata vema itakuwa unazungumzia Mkiwa, ameimba dogo mmoja hivi akimshirikisha Ferouz.
"Mkiwa mi najikongoja, dunia naiona chungu naona bora niwafate wazazi tuwe pamoja..." hiyo ni sehemu ya chorus yake.
Ahsante sana mkuu. Yaani daah.
Ahsante chief.
Nimekaa hapa nikawaza mb nilizopakua, nikaona kwa kweli mmeshughulika kuzi-upload si kitoto.
***
Baada ya hayo sasa nina changamoto kuna wimbo sikumbuki jina vema, nitajieleza.
Ameimba dogo mmoja hivi kupitia Motika records, nadhani huyo dogo...
Niseme tu huu uzi unaishi na umenifaa sana Ahsante Secret Star kuuanzisha. Imenibidi kuanza nao tangu mwanzo na hakika nimepata madini yanayonikumbusha enzi hizo... Idimi gwankaja KIOO na wengineo wote... Niseme tu nashukuru kwa mara nyingine.
Mwenye nyimbo zifuatazo tafadhali;
1. Univesity...
I. Introduction
In 1958 the British colonial Government of Tanganyika forcefully evicted Maasai pastoralists to give room for the establishment of Serengeti National Park. The victims were resettled outside the park including in the Loliondo Division which was later granted a legal...
Mimi si mtu wa benki, ila nadhani inategemea na upatikanaji wa noti, ila hilo haliathiri kwa vyovyote kiwango unachotoa, kama max ni 1.2 basi na utaitoa kama kawaida. Na buku tanotano haziwezi zikatoka kwa laki 4 in a go maana ni rundo kubwa. Uwe na amani mkuu, imeshanitokea Stanbic na nikapata...
I recommend this film from Czech.
Men in Hope. kwa stori hii - lile tangazo la tuko wangapi linahusika saaaana.
Anayeweza aitafute hiyo film, ni nzuri sana. Hasahasa Baba mkwe anapomsakizia mkwewe mabinti - huku akimuelezea raha ya cheating. Ni ajabu.
Back in time, sijaona kama Most Wanted, toping the Blacklist. Yaani zingine nacheza tu kuona ni kipi kipya. Ila hazijanihamasisha kama NFSMW. Usicheze na Sergeant Cross.
Wewe ungependa mtu mmoja awe ng'ombe wangapi mkuu?
Jitihada za kuchoma maboma yao, jitihada za kutofuata sheria? hongereni.
That is very nice of you to say it mkuu, huwa unamwambia nani ukihama, ama ukitaka kuhamia mkoa mwingine tarataibu kwa mujibu wa katiba zikoje, naomba unitoe gizani...
Ushauri mwingi unaokuja humu ndio unaoreflect maisha ya vijana wa kisasa. Ukiamua kufanya dhambi, basi fanya na uendelee isiwe kidogo tu kwake huyo, nenda kwa wengine wote ambao waume zao hawana uwezo na uzalishe wake zao.
Kama una imani hata chembe kwa Mungu, basi hutathubutu kufanya kitu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.