https://docs.google.com/forms/d/1KU1YrYGPYakjsILGaVvx0nevfoy7jqdUWJjjEQG3NIQ/viewform?usp=send_form
Chagua jina la Mtia nia wa Urais kupitia chama cha mapinduzi unaehisi atapitishwa na chama hicho jumapili hii kwa kufuata link hiyo hapo juu
Mtia nia
Najuta kutosamehe.
I moved on, miez kadhaa imepita nimepata mtu ndiyo but bado naona kuna kosa nilifanya kwa kuto kumsamahe.
Ukizingatia kuwa mimi nilichepukaga na akagundua na tukaendelea japo alikuwa na kinyongo bt hakukionesha waziwazi had alipokuja kulipiza.
Sometimes ni bora tu kusamehe
John Ezekiel
Hii inakuwaga na madhara bt kama atafanya kwa muda mrefu , inamfanya apoteze kumbukumbu.
Ni had aache na aanze kujitibu tatzo la kumbukumbu la sivyo usahaulifu utakuwa ugonjwa wake
Faida yake moja ni kuwa atakapokuwa anapiga mech ya ukweli ukweli atakuwa anachelewa sana kumaliza...
Nimekuwa nikisikia hiz habari za Mwigulu Nchemba kutajwa tajwa kuwa miongoni mwa wale wanaojitokeza kuwania urais wa JMT.
Sikuwa nazitilia maanan sana japo kuna watu walileta data za kuprove kuwa jamaa ana had baraka zote za Ikulu na kwamba anaandaliwa special kwa kaz hiyo.
Leo ndo nimeamin...
Nielewe vzuri
Sipondi juhud za Diamond na mafanikio yake, ila nachoona hakipo sawa ni watu kushikilia suala la english ya Diamond kama success story
Am sure hata yeye hatapenda kuona et anasifiwa kwa kuongea koongereza vizur, yaan level hiz ni za kusifiana english, tena kwa coment zaid ya...
Wameomba msamaha na siyo wao google bali ni contributers mbalimbali wanao fanya hayo makitu kupitia google map maker
So wamei diss able hyo app maker for a while
Na siyo tu hivyo last week ilikuwa ishu ya picha ya kirobot cha android kikikojolea apple, ilionekana huko indonesia kwenye google...
Waganda ndo mamburula kuliko wote Africa Mashariki, hauwezi ukakibali M7 atawale miaka yote hii as if hakuna watu wengine.
Honestly me nikimwonaga mganda hata kama ni Dr au professa naonaga pumba tu
Na ndo hapo napoungana na mtoa mada kuwa pengine watanzania au tuseme public servants wa Tanzania ni wapuuz kuliko wote qa East Africa
Sababu hauwez sema et mna mgomo mmbaya zaid mgomo ambao haulet mabadiliko yeyote kwa matatizo yenu ila unazidi tu kuharibu sekta ya elimu na afya
Wenzenu...
Kenyans wamekuwa in this system for nearly 50 years.
Wakti Tz ime adapt element za u capitalism hv majuz tu, so its just the matter of maturity
Our Private sector ,ambayo ndo major player kwenye hii systen bado anakuwa. Tutakuwa pale soon, Na am telling you the once sleeping giant ameshaamka...
Even this ,jamaa bado hatakiwi kusema ni makampuni ya Tanzania,coz kuna a good number of Tanzanian business ambazo zinajali wateja na zinajitangaza vyema.
Invisible change kindly modify this thread hasa kichwa cha habari
Mmmh umepick the worse then ukagenerelize for the whole population.
Unasahau kuna matangazo mengi ya makampuni mfano airtel,ni mazuri kinoma na yana designiwa na kufanywa na wabongo hapa hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.