Hili ni funzo kwa Makonda afuatilie mikutano ya Kinana na Nchimbi atagundua yeye alikuwa ni mwenezi
1: Mropokaji kila jambo anaropoka kwa maslahi yake
2- Mwenezi wa kujikweza na maagizo yasiyo na kichwa wala miguu anamwagiza waziri mkuu; mawaziri; wakuu mikoa ; wilaya ; wakurugenzi na MA RPC
3-...
Wewe mfuate bwana wako anayekutuma yupo Arusha UENEZI ulimshinda akabadili UENEZI ikawa mahakama hawa akina nchimbi wamekuonyesha ukomavu masuala ya mahakamani hawaingilii
UENEZI wa Makonda wa kutisha watu hawa akina nchimbi wanaunganisha watu
UENEZI wa Makonda kukwapua hela kwa matajiri hawa...
Paulo Makonda juzi kasema hajajifunza jambo lolote- Swali hivi unatolewa Ukatibu UENEZI Taifa unapelekwa kuwa mkuu wa mkoa unasema hujajifunza lolote hii ni kauli mbaya kwa mamlaka ya Uteuzi.
Wewe ulikuwa unaagiza waziri mkuu; mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wilaya, wakurugenzi, ma RPC unaenda...
Nimeamka naona mkeka Amos Makalla atapangiwa kazi nyingine:Amewahi kuwa naibu Katibu mkuu uvccm; Katibu mkuu uvccm walipiga kazi na Dr Nchimbi
Akateuliwa mweka hazina ccm akafanya kazi nzuri sana ccm ndiye aliyesimamia ununuzi magari yote ccm
Akawa naibu waziri michezo baadaye maji
Amepelekwa...
Kaka makala jembe ni mtu mstarabu, kazi maalum yule amepita majiji ya Mbeya dar na mwanza: mikoa katavi na Kilimanjaro huyu kakulia kwenye mfumo na anweza kurudishwa ccm kazi maalum
Natoa ushauri kwa waandamanaji kabla hujaandamana omba vitu 3
1- BIMA YA AFYA
Maaandamano yana athari kubwa ikiwemo kilema; kupoteza maisha jitahidini mpate Bima ya Afya
2: POSHO
Chadema wamekusanya hela nyingi bajeti kila muandamanaji sh 850;000
3-Ahadi baada ya maandamano
Je chadema...
Hujasema mambo makubwa 3
1- Gari la kubebea wagonjwa; majeruhi na huduma ya kwanza halitakuwepo kwenye maandamano
2- posho za washiriki wa maandamano tunajua mmepokea hela nyingi kwa ajili ya kulipa posho - je mtakipia wapi posho kabla na baada ya maandamano
3- Bima ya afya kwa waandamanaji...
Kundi la Katibu mkuu aliyejiuzulu kwa Kashfa Daniel CHONGOLO na makundi ya wasaka URAIS 2025 na 2030 yanafanya minyukano ya kuhakisha Samia hapati.
Katibu Mkuu mzuri kila kundi linapambana liweke mtu wake
DANIEL CHONGOLO anapambana asipatikane Katibu mkuu atakayefukua kashfa zake za ufisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.