Hayo ni mawazo yako,
Inawezekana nikalipa na mfumo usiniruhusu kuanza upya,ninachohitaji ni maelekezo kwa anaefahamu,
Watoto mnaokaa kwa shemeji zenu huwa mnadharau sana.
Hata hivyo pesa haipaswi kudharauliwa.
Yoyo kwa yote nashukuru kwa mchango wako pia kwani umeifanya thread kuwepo
Salaam,
Wanabord ninaomba kufahamishwa kwa yeyote inaefahamu anisaidie kunifshamisha.
Nacte wamefungua dirisha la udahili kwa vyuo vya afya ambapo deadline ni mwisho wa mwezi huu.
Kwa kosa nililofanya la kupata control number ya 10,000 nitalazimika kuomba chuo kimoja tu hivyo nitakua na risk...
Hili tatizo dogo sana,watu wengi pamoja na wewe muhanga huwa mnateseka kwasababu yakuhangaika na dawa zisizofaa.
Siku nyingine ukiona tu hii hali inakuanza meza ampiclox tatizo litakua limeishia hapo,ukiwahi mapema hutapata hata kidonda.
Japo umechelewa meza ampiclox utapona haraka.
Pole,
Thnx.
Ndugu usi conclude jambo kirahisi hivyo.
Sio kweli kwamba kuku wa kienyeji ukiwafungia ndani hawakui vizuri.Hao vifaranga wako walipata maradhi na hii ni kawaida hata kama wangekuwa kroila ama wakisasa.
Nakushauri endelea kujifunza ufugaji,jitahidi unapopata changamoto uliza kwa ma dr ama...
Wandugu Salaam,
Juzi pale hospitali Msoga Madaktari wamepokea mgonjwa aliekuwa anatapika na kuharisha Damu sana na haraka walipomchukua maelezo wakabaini jambo.
Huyu mgonjwa alipata tatizo wakati anatafuna mfupa wa kuku na bahati mbaya kipande cha mfupa chanye ncha kali kilimkwama kooni...
Wapendwa Salaam,
NMB Chalinze branch kumejawa na wafanyakazi wenye kiburi na majivuno hasa kwenye idara ya mikopo jambo ambalo linasababisha kero kubwa kwa wateja,
Hii branch unapoanza ku process mkopo utacheleweshwa kiasi ambacho utaona kabisa ni kama wanakuomba rushwa kiaina.Hizo nenda rudi...
hivi hizi tozo wanazotupiga hawa jamaa kwenye miamala unazizungumziaje?Nafikiri hapa kuna tatizo la tafsiri,na nafikiri watumie neno makusanyo ya serikali,kwangu mimi naona watanzania zaidi ya 90% wanalipa kodi,
Mkitaka watufananishe na USA hawa jamaa watatuua,sidhani kama US VAT wanayotoza...
Salaam,
Kwanza nianze kwa kumpongeza Aweso kwa namna anavyopambana kuhakikisha maji yanafika kwa wananchi ili kuyafikia malengo ambayo chama na serikali wamejiwekea.
Licha ya haya mapambano ambayo wazari anapambana kuhakikisha maji yanasambaa kwa wananchi, yanayoendelea huku kwa watendaji wako...
Saalamu,
Siku chache zilizopita tulishuhudia mjadala makini ulioitishwa na wanahabari huku mgeni rasmi alikiwa makamo wa raisi huko mkoani Iringa.
Dhina ya mkutano ule ilikuwa ni kumpatia mh mpango taarifa za kiuchunguzi juu ya chanzo cha mto ruaha mkuu kukauka kwani mpaka siku wanafanya kile...
Hapo nyuma nikiwa bado kijana nilikuwa mzalendo sana,lakini leo kuwa mzelendo nimeona ni upumavu kwasababu wanaotuasa raia tuwe wazalendo wao sio wazalendo wanafuja kodi zetu.
Ukifuatilia vijana wa TRA wanaokamata watu kariakoo kwa kutodai risiti vijana wadogo wana utajiri usiolingana na vipato...
Ninaposhuhudia kodi zetu zinavyopigwa na hawa watu wa maofini huwa nakereka Sana,
Nikifanya biashara sitoi risiti na nikinunua sidai risiti.Hakuna watu wapigaji kama waajiriwa wa serikali na taasisi zake.
Nchi hii kuna wafanyakazi wanautajiri usioelezeka,huwa nilishaweka nadhiri nitaangalia...
Moja ya wiraza ambazo kwa miaka mingi huwa zinakosa watu makini basi ni wizara ya mifugo,kama wewe sio mfugaji haya huwezi yajua.
Nchi hii ina maabara chache mno za mifugo kitu ambacho ni kituko.Tena huwenda maabara hizi zipo mikoani tu tena hazipo vizuri kivifaa.
Madtari wetu wa mifugo...
Salaam wanajamvi,
Juzi kulikuwa na mkutano ulioitishwa na wahariri wa vyombo vya habari mkoani Iringa ambapo mgeni rasmi alikuwa ni mh Makamu wa Rais.
Mkutano huu dhima yake mahususi wahariri walilenga kumpatia Mh Makamu wa Rais taarifa juu ya kile walichobaini nini chanzo cha kukauka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.