Unachoongea kinaweza kuwa kweli,lakini kaa chini ujiulize,ondoa uccm wako na ucdm wako,jiulize,
-kwa nini Mwigulu aliposema nina ushahidi hakukamatwa?
-kwa nini huu mkanda umetoka baada ya Kibanda kufanyiwa vile?
Wakati fulani tuache siasa kwenye mambo ya msingi.
Kwa ninavyopafahamu Kiwira,huyo mwenyekiti atakuwa wa Ccm tu,maana pale pana vitongoji 11,na vyote viko chini ya Ccm,ila Mh diwani ndiyo anatoka chama kile cha Cdm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.