Betting nilianza 2014 ila kwasasa nimepunguza kwa asilimia 70 u 80 kabisa,kimahesabu pesa nilizopata kwa kushinda tangu nianze inafika milioni 4,ila nilizopoteza zinazidi hiyo.Kiufupi addiction kama pombe,kamari,punyeto, picha za ngono,na madawa zinahitaji nguvu za maombi na Dua kwa kumaanisha...
Mimi nilifuta social media kama Instagram huwa naboreka na habari za wasanii na entertainment, miaka ya nyuma nilikua naifuatilia sana miziki,movies nk
Nimeishi huko miaka mitatu niliondoka 2017,kwa miaka hiyo niligundua haya; gharama za vyakula zipo chini ila mzunguko wa pesa ni mgumu,kule kwa mtu muajiriwa au yeyote mwenye uhakika wa kupata hata laki nane au saba kwa mwezi basi ataishi maisha ya unafuu, kiukweli nyumba nyingi zina standard...
Pamoja na kwamba tumezidiwa daraja na hawa Morocco lakini kiukweli timu ya taifa bado vingi sana vya kufanya ili kifika levo za wenzetu,timu hata kupiga pasi kumi ni mtihani,Yani pasi tatu mpira unapigwa juu unatoka au unapotea kwa wapinzani.
Nahitaji kujua utofauti wa hizi rangi ambazo ni vinyl superlux matt emulsion, na silk ambazo sio matt, hizo za kwanza ni zile za kuchanganya na mashine au ni zipi, na matumizi,
Huku maeneo ya Ulongoni Gongo la Mboto, miaka michache nyuma ilikuwa kero kubwa sana kuishi, barabara mbovu za vumbi, madaraja yote ya mto msimbazi yalikuwa yamevunjika, hilo lote ni Jimbo lake, sijajua huko tatizo linalokwamisha ni nini?
Zanzibar kazi za ujenzi zipo nyingi sana kwasababu uwekezaji mkubwa ni hoteli za kitalii,ila ukibahatika kupata vibarua ktk kampuni za wazungu angalau huwa wanawalipa tsh 15000 na fundi tsh elfu 20 hadi 25,ila ukiangukia ktk kampuni za wahindi hao pesa zao ndogo vibarua wanawalipa elfu 12 kwa...
Sio 1400,mfano kutoka stone town mpaka kizimkazi shamba huko ni tsh 3000 kwa coaster au zile canter(mbavu za mbwa?,mjini mpaka paje na michamvi bei ni hiyohiyo.
Hii kitu inacost sana hata kwangu,tatizo utakuta ktk akaunt ya simu ipo laki tano au sita na sabini,alafu mtu hasa ndugu anaomba elfu 20 au 10,sio pesa nyingi sana lakini ikizidi zinakuwa nyingi,hapo bado hujapokea sms za wagonjwa za kifamilia/ukoo.Pia Ile tabia ya kupotezea chenchi ndogo ndogo...
Wazo zuri. Mfano sasa hivi huko vikindu viwanja vingi vinauzwa kwa bei ndogo kabisa, lakini kwasababu haipo Dar watu hawataki au wanaonunua wanaacha mpaka pachangamke. Muhimu watu wenye mamlaka za mipango miji wawe wanagawanya na kupangilia vitu muhimu ili watu wasirundikane sehemu moja tu.
Kuna chaneli moja nilikua naifuatilia YouTube kipindi cha nyuma siikumbuki jina lake,ila ilikua inaonesha movies za wasanii wa Morogoro,wanajitahidi sana kuanzia acting,stori, location nzuri, quality ya picha inaonekana ilikua na producers na directors wazuri,haya Kuna movies zingine tatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.