Sawa mkuu na zinatibu ugonjwammoja au ni tofaut?
Mi nimepimwa nkaambiwa nna uogonjwa unaitwa baridi ya bisi,
Shingoilikua inauma sana nabega nkaambiwa nimelalavbaya lkn haliivyozidi nkaona nibadilishe hosptal ndo nkapewa majibu hayo
Nkapigwa sindano 1ya crstapen,nkapewana dawa zerodo,na hizo...
Wapendwa habarini za saa hizi.
Naombeni msaada wa ufahamu. Nataka kujua kuwa mwanafunzi anapokuwa nyumbani anasubiria matokeo ya fom 4 huwa hawi na kinga ya mwanafunzi tena?
Mi binafsi sipendi wadogo zangu wa kike waje wapate tabu kama ninavyoona wanawake ambao wameolewa wakiwa hawana ajira...
Nduguazangu waismu mi silagisana,
Kama Idd ni leo,kesho na keshokutwa mbona sikuzotetatu mimi sijaalikwa??
Mcniogope jaman mi baathi ya vyakula vyangu ntakuja navyo mfa ndizi mbivu, limao namji kwaajili ya kunawamikono kwaiyo cna gharama kubwa sana, msiulize kuhusu uzoefu nnauwezo wakuhudhuria...
Wakuu habari za jioni natumai mu wazima wote, sikuzote ambae hajui hua anauliza, na asipo uliza bac hataki kujua, Mi nataka kujua kama ni haki,
Stendi ya ubungo ina hamishwa na je? ikihamishwa hapa ubungo patabaki na mradi gani? AU ndo Hawa mafisadi wa meshapaona panafaa biashara wanataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.