Kwenye miguu ningekushauri chukua ile mipana iliyojaa yaani kama mbao hivi vifupi. Alafu chukua kochi yenye spring utainjoi zaidi kuliko ya mbao au mipira..
Kimuonekano kwangu la pili
.
Kwa kuandika tu eti wanaofanikiwa Tanzania ni mazuzu, WEWE NI ZUZU NA TAHIRA NAMBA MOJA!unaishi wapi na kimaisha uko wapi! Tuna wangapi waliofanikiwa Tanzania!Kwa hiyo wote ili tufanikiwe tuhame nchi au sababu kila Mtanzania anataka kufanikiwa? Ebu acha story za kuvunjana moyo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.