Hii hii GRS200 ama ni zile za kuanzia 2017? Mimi Nina GRS204 full option lakini Cruise control ni ya kawaida sio dynamic (nilikuwa na lexus is200 ya 1999 ilikuwemo). Haina collision avoidance system zaidi ya parking sensors. Sijawahi ona driver monitoring system ama labda kwa sababu sijawahi...
Ukiileta aya kwenye Quran ilotaja umri wa huyo unaemkusudia nakuwa mkristo na kuanza kuamini huyo mungu unaemuabudu alomtia mimba katoto ili azaliwe yeye :D
Jamaa angu anasema Russia inakula kichapo ilhali Ukraine analilia misaada kila kukicha na kurushiwa mvua za mabomu [emoji23] shida kweli kweli.
Sikujua kama ukishindwa vita unakuwa unachukua territories za adui yako. Pole msee
Waseme tu kama wanataka kutengeza vita makusudi na hivo kutumia maji kama kianzilishi.
Utaskia, kuna rising sea levels, kwanini kusifanywe desalination of ocean water yakatumiwa? Yaani uku Zenji kuna kisiwa kina hotel Mnemba, wana desalination plant, Serikali inayokusanya mabilioni inashindwa?
Huu mchuzi wa Dinasours utaendelea kuwa na demand kwa miaka mingi sana ijao, yawezekana sisi sote humu tukafa na huu mchuzi bado ukaendelea kutumika. Wakitaka usiwe na demand, wakubali kutumia nuclear power, ndio nishati pekee inayoweza kumeet demands. Ule mbadala wao wa kutumia betri kwenye...
Hawa si wanavyeti vyote vya usajili? Na zile namba za mawakala ili upate sharti si uwe umesajiliwa? All border entry/exit point zilikuwa zijuikishwe wahusika wasitoke nje ya nchi, na picha zao ziwekwe mitandaoni ili yoyote atakae waona atoe taarifa.
Anyways, ukiitwa kwenye fursa basi jua wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.