Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Ndugu zangu naomba kusamehewa sana juu ya ndugu zetu waliojiua ambao mimi nilikuwa nawakejeli sana na kuwaona kama wajinga.
Kumbe walikuwa wako sahihi kabisa.
Kuna mambo magumu sana ambayo wanadamu tunapitia mpaka unabaki unashangaa hakuna hata...
Huu ndo ukweli halisi waungwana.
Kwa hali inayoendelea nchini kwa sasa ni wazi na ni ukweli usio na shaka kuwa Chadema ni CCM B.
Na Chadema ndiyo chama chenye wanachama na viongozi wanaonunulika kwa kirahisi zaidi aidha kwa bei kubwa au bei ndogo.
Yaani hakuna mwenye msimamo chadema yeyote...
Naomben wadau ambao mshawahi fika katavi tujuzane je panafaa kwenda kuparangana kutafuta maisha
Kwa mtu wa hali chini mwenye mtaji chini ya milion?
Je Morogoro na Katavi wako pako vizuri zaid ki utafutaji kwa mtu anaeanza maisha?
Asanten naomba wadau mnaoishi Katavi tujuzane jamani
NB siendi...
Ndugu zangu leo nimeota ndoto ambayo sijaielewa kabisa
Nimeota namnunulia dada yangu wa mwisho Nguo za ndani 11
Nini maana ya ndoto hii wakuu
Asanten
Sent using Jamii Forums mobile app
Aman itamalaki kwenu
Leo nimejitolea kutoa ushauri wa bure kabisa bila malipo. Toka Rais atangaze Dodoma kuwa makao makuu ya nchi watu wengi wamekuwa wakidhani kuwa Dodoma mambo ni shwari sana. Ukweli ni kwamba Dodoma mambo ni magumu sana hakuna mzunguko wa pesa wala nini.
Ni pakame sana na...
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu
Chelsea bhana wana mpango wa kuwasajili neymar, sancho pamoja na chilwell
Chelsea kwa sancho na chilwell mimi nawaunga mkono ila kwa huyo bitoz mimi siwaungi mkono kabisa hata kidogo
Japo wenyewe wanadai kwamba wanataka wakuze brand ya team ambayo kwa sasa...
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu
Tukiacha tu utan aliyekuwa nyota wa Chelsea na sasa kocha wao frank lampard ni bonge la kocha
Kwanza hana mchezaji tegemeo wa kuweza amua matokeo kama team zingine
Pili hajasajili kabisa
Tatu hazard alisepa na kuicha team mkiwa
Nne ana vitoto vya academy...
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu
Huu uzi siyo wa ukabila ila tu ni swali ambalo nimejiuliza siku nyingi sana pasipo majibu
Makabila mengi inchin kwetu ni ya watu wafupi hilo halina shaka kila mtu anajua lakin katika hayo makabila ya watu wafupi pia unaweza ukapata warefu lakin lazima...
Aman itamalaki
Hawa air tell kama siyo vichaa bas watakuwa ni wendawazimu, wanachekesha sana hawa jamaa aisee
Jana nimeweka salio la elf moja si nikasahau kujiunga likaanza kutembea salio kwa salio
Kumbe kila ukipiga unakatwa shilingi moja kwa kila sekunde yaan kwa elf moja unaongea sekunde...
Kuna ngoma imetoka huko ni ya aslay na kiba
Lakin kusema ukweli aslay kaimba vizur ila huyu ali kiba kazingua sana
Super star mkubwa kaimba kama under ground
Bora tu hata angesimama mayunga au mario
Aisee huyu Kiranga na utata wake wote na ungosha wake wote na kuishi kwake America na kusoma kwake kote na ubishi wake wote ivi kweli kashindwa kabisa kutuzibitishia kama kweli Mungu hayupo
Mimi nilitegemea kiranga atuletee uthibitisho kama kweli Mungu hayupo
Ni ukweli usio acha shaka kwamba...
Kuna haja ya kuongeza saut kweli mabaharia wenzangu au volume iko sawa
Bas kama dawa kama kawa
Sisi ndo mabaharia na hili ndo genge letu
Kitu cha kuzingia baharia popote uwapo, hakikisha hutwangushi mabaharia wenzio
Ukipewa papuch ichakaze kweli kweli
Ukipewa kazi ichape kweli kweli
Demu...
Dodoma kuna msikiti uko mjini one way barabara ya tisa msikiti huu ni mkubwa sana maana una eneo kubwa, msikiti huu kilikuwa ni kiwanja cha mtu aliwapa watu wa bakwata bure ili wajenge msikiti mtu huyo alifariki dunia miaka ya nyuma
Lakin cha kusikitisha baada ya viongozi wa msikiti kupewa...
Aman kwenu wakuu
Kuna kiwanja nakiuza hapa dodoma kipo michese kutoka dodoma mjini kwenda pale naul mia tano tu
Kina nyumba kabisa sema bado haijaisha
Kiwanja kipo pazur sana karbu na bara bara
Karbun sana ndugu zangu
Bei ni milion tano tu ila nitapunguza kidogo
Dah nasikitika sana wakuu kuwatarifu kuwa toka nizaliwe sijawahi kabisa kulamba mchuchu mkali mweupe mwenye shepu tata na anayejua kulembua kama beyonce
Dah yaan kila nikiona demu mkali naogopa kumfuta najua tu atanitosa daah yaan nataman sana kulamba watoto wakali lakin daah
Kipindi cha...
Jana nikiwa natizama EATV si ndo ikaja top ten ya ngoma
Kufumba na kufumbua nikaona ngoma ya alikiba ikiwa namba tatu
Nilibaki mdomo wazi kushangaa kwamba hadi ngoma iko top ten lakin mimi hata sijui
Duh noma kweli
Jamaa anatoa ngoma lakin mashabiki hata hatujui
Ndo hivyo huyu ninja ataikumbuka England
Nimetizima game zote ambazo kacheza hana makeke wala hana chochote
Wala hakuna bak anayemkamia kama kipindi yuko England unakuta anakabwa na mabeki watatu
Hana chochote kabisa yaan ni garasa
Huyu jamaa pole yake aisee
Nahis had mda huu moyo wake...
Je ni kwanini kwa sasa marekani anaonekana kupoteza ushawishi
Yaan kawa kama mbwa anayebekwa bweka tu lakin hana meno
Je au ndo kwamba hakuna marefu yasiyo na mwisho
Je utawala wa dunia wa America ndo umefika kikomo? Au anavuta mda aje alipue watu
Kwanini saiv anachezewa sana why
Amani itamalaki
Ni mara mia uumwe mbwa au ulaluliwe na simba lakin si kuona jeneza la ndugu, rafiki au mzazi likishushwa kaburini
Akili huwaga inahama na kuona bora tu hata wewe udanje
Hii ni hatua mbaya sana, ni hatua ambayo mtu huamini kabisa ni kweli huyu mpendwa sitamuona ndo hatua ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.