Haya mambo yapo kuna jamaa angu ni fundi alikabidhiwa nyumba ikakamilika ,mmiliki akamwambia aishi kwa muda
Yaan mpaka naandika apa bado anaishi hapo na mwenye nyumba hajatokea inakaribia miaka 15 sasa, tujifunze kushirikisha watu wa karibu ona jamaa anakaribia kumiliki mjengo kiulaiiiiini😅
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.