Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani hivi leo inasema Tanzania ni nchi kiongozi katika masuala ya usalama katika Bara la Afrika.
Hayo yamesemwa leo na General Stephen Townsend na kuripotiwa na Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania.
General Townsend ndiye mkuu wa Jeshi la Marekani Command...
Mchungaji Daud Mashimo amesema amepokea maono kutoka kwa Mungu kuwa Mtangazaji wa Cloud Fm Ephraim Kibonde hakufariki, ila kuna mchezo wa kishirikina ulifanyika...
Mchungaji Mashimo amesema katika jeneza la Kibonde hakuwemo Kibonde mwenyewe ila kulikuwa na kitu kingine ambacho huenda ni gogo au...
Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wametakiwa kujisajili kisheria ili waweze kutambulika na kufanya kazi ya ufugaji kwa ufuata sheria zilizowekwa.
Imeelezwa kuwa wote ambao hawajasajiliwa lakini wanafanya kazi ya ufugaji kuku, hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Mpaka sasa takwimu...
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi, Kampuni ya Fastjet imewatangazia wafanyakazi wake kuwa haitakuwa na uwezo wa kulipa mishahara ya mwezi February mwaka huu.
Pamoja na hilo pia, haitakuwa na uwezo wa kulipa malimbikizo ya mwezi January kwa wafanyakazi ambao hawakulipwa mishahara iliyopita...
Mlishindwa nini kuandika kwa Kiswahili kama kiingereza ni tatizo??
Hakuna mtu wa kufanya "proofreading" kabla ya kutoa hivi vyeti??
Mkuu wa mkoa hakusoma hiki cheti kabla ya kuweka saini yake??
RAS wa mkoa hakusoma kabla hajaweka saini yake??
Ni mangapi huwa mnasaini tu bila kuyasoma??
Baraza la Sanaa Tanzania hatimaye limewafungulia rasmi wasanii Diamond Platnums, Rayvvan na Wasafi Festival yao mara baada ya kuwafungia toka mwaka jana.
Msemaji wa Serikali, Dk Hassan Abbas amemjibu mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) Tundu Lissu, akidai kuwa mwakilishi huyo wa wananchi anazungumza uongo kuhusu maendeleo ya Tanzania.
Dk Abbas amesema kwamba licha ya kuulizwa mazuri ya Serikali lakini Lissu alishindwa kujibu na badala yake...
SPIKA wa Bunge Job Ndugai amesema Mbunge wa Kigoma mjini Mh. Zitto amekuwa akimpa tabu sana.
“Niseme tu ukeli kutoka moyoni, huyu mbunge amekuwa akinipa tabu sana,
Ananipa tabu kwa sababu ndiye mbunge mmoja tu wa chama chake.
Pale Bungeni inakuwa rahisi kuwafukuza wabunge wengine wanapofanya...
Benki ya CRDB imefanya mabadiliko kwenye baadhi ya ada za huduma zake yatakayoanza kufanya kazi kuanzia Februari 15, 2019.
Taarifa iliyotolewa na uongozi wa CRDB imeeleza kuwa ada hizo pamoja na kodi zimefanyiwa marekebisho madogo kwa lengo la kuboresha zaidi huduma zake.
Ada zilizobadilika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.