Nina swali nje ya mada kidogo
Hivi mfano nimewekeza mfuko wa UTT nina say miaka 25, nikawa nimeoa
Baada kama ya miaka 20 ndoa ikavunjika
Sasa kwenye zile sarakasi za mahakamani za kugawana mali kwenye talaka huwa zinagusa mpaka kwenye uwekezaji wako huko UTT??
Mhubiri 5 :11-12
Mali yakiongezeka, hao walao nao waongezeka na mwenyewe hufaidiwa nini, ila kuyatazama kwa macho yake tu?
Usingizi wake kibarua ni mtamu, kwamba amekula kidogo, au kwamba amekula kingi; lakini kushiba kwake tajiri hakumwachi kulala usingizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.