Kweli...Lakini isivumishwe sana!! haina maana!!
Ila ONYO kwa Chenge...angalia usiendeshwe sana na hao wano kuendesha!!
Ni upumbavu!!!....Kama ni akili basi fanya haraka tuone!!
mmmmh! MR II hakubuni!!!...MRII alionyesha uwezekano wa kughani kwa maana tena kwa kiswahili...nilipo anza niliona ni rahisi kughani kwa English kuliko kiswahili...na haikua na maana kwa waliokua wanasikiliza!!
Lakini MRII alionyesha ni jinsi gani Bongoflava anaipenda!!...
hata maneno yake...
OK...Kuna tofauti kubwa kati ya Bongo flaver,
na Hip hop, kwasahabu Hip hop (neno na maana)ilikuwepo tangu awali!! Kumbuka hii ni www!!
Huwezi Ukaniambia Matonya anaimba R&B!! nika kuelewa!!....
au Inpetor haroon anaimba hip hop !??
Lakini wapo wanao fanya hip hop ya kiswahili...tatizo...
Mimi ndio nilio kwambia....!! sasa nashaa unavyo react!!....
wewe ni mmoja kati ya hao wanao kimbia hiyo haibu!!
nafikiri bado hujui nini unataka kujua!!
Inaonekana Wewe ni mshabiki tu...
Hii kazi tuachie!! lakini sio mbaya niki ku elimisha kidiogo...
Nilianza Hip hop 1988!! nikiwa mdogo sana!! Baadae nika ona tofauti!! kubwa kati ya vijana waliopo Dar na wale waliopo Mikoani!! Dar Kulikua na FM stations nyingi zaidi kuliko sehemu...
Mikandamizo ya Gigo bado inaendelea,
Japo shida anaendelea kuzi vumilia,
kamwe hatuwezi kuendelea,
bila nia.. Bila kudhamilia,
Ufisadi upo kwenye familia,
Huko tunakotokea,
sipo hapo walipo fikia,
Ni toka kwa wazazi walipo zaliwa,
nita watukana hata wakini fungia,
kamwe sipendi hoja za...
Ukiendelea kushindwa kabisa niletee nimfundishe...jinsi ya kukalia gea vizuri..
akirudi Nyumbai analia nafikili atakua ameshaelewa nini unataka kumsaidia!!
we mlete tu husi hofu!! we nikabidhi kazi zote nitamfundisha!!-
hakuana kitu mnacho jadili hapa kwani hata mwisho wake mtakosa jibu..
Hiyo bongo flava ni impact ya FM station in Africa -result is that!!!...pili wanao jaribu kusema hip hop ni wale wanao kimbia haibu!! -Kweli kuna tofauti...
bongoflava ni matokeo ya effect ya radio communication kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.