Ujauzito ni wa kwanza,
Kipimo cha Mara ya kwanza kilipimwa Mara moja tu, kipimo cha Jana nacho kimepimwa Mara moja tu, dawa alizo pewa, zinaitwa AGOFER,
Afu kuhusu malalamiko hana hata shida yoyote yupo vizuri kabisa, ila alivo pewa izo dawa za kutafuna ndo akajiskia vibaya hadi kutapika,
Maana ananiambia Mara ya mwisho kwenda alipima presha ilikua 114/98
Leo kaenda eti ipo 93/58
Wamempa tu vidonge vya kutafuna, vipi iyo hali sio hatari kwa afya ya mama na mtoto?
Me natafuta mega mixer ambayo ntakuta ngoma zile kali za kuchezeka Kama badest na mabantu hasa hitsong za bongo Hamna unakutana na za kina hamo na mond na rayvan Hao wengine adimu
Nataka nichezee nife hata. Na mchezaji mmoja, Sasa kizungu changamoto hapo sijaelewa Ili mkeka uende inatakiwa mchezaji achezeje huo mpira, apige short golini au mradi kapiga tu shot!? Msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.