Habali wakuu,
Wale wazee wakuponda kila kitu muipotezee tuu hii threads jana bana nikaamua kwenda bmax lounge nikiwa na staff wenzangu watano wa ofisini
Sasa bana maisha haya sometimes tukiwa mitungi kupitiliza shit happen tuna play around. Kuna binti mmoja niliwahi kuruka nae one night stand...
Habari zenu wakuu
Tunaanza weekend sio mbaya nikija story nyepesi nyepesi mimi ninatokea kanda maalumu kwa asili ila nimezaliwa DSM na niko hapa maisha yangu yote sasa tokea tuko wadogo tulikuwa tunaenda likizo baba alikuwa anatupeleka hiyo tabia ninayo mpaka leo nikiwaga likizo naendaga kwetu...
Namshukuru Mungu kwa kuniongezea mwaka mwingine nashukuru kwa kuendelea kuwa na afya njema na nguvu na wengine humu ambao tuna kumbukizi za siku ya kuzaliwa muwe na maisha marefu.
ni kijana niliezaliwa katikati ya mwaka 1984 to 1987 najua kuna baba, mama, dada, kaka na wadogo zangu humu...
Wakuu habali zenu
Nasomeka gambeni muda huu nina serengeti lite 10,kwa mwana ambae yuko around mitaa hii
niko pub yangu ya kitaanii Gold j pub hapa sinza madukani karibu na jengo la emirate.
ila kama unajijua wewe ni chawa usisogee karibuni sana .
Kiroho safi tufurahie holiday jamanii
Habali wakuu
Tunakoelekea mwisho wa mwaka ngoja niwape story nyepesi nyepesi kama ukufanya malengo mwaka huu usikate tamaa mwakani unayo nafasi ya kufanya makubwa.
Back to the point wiki iliopita week days kama juma tano nilikuwa nafanya kazi zangu out of office ilivyofika saa sita mchana...
Habari wakuu
Ni matumaini yangu mnaendelea vizuri na mapumziko ya wiki. Ijumaa hii iliyopita wakati natoka kazini nilipitia Magomeni kwa dhumuni la kwenda fundi wa redio ya kitorori changu ninachokitumia kwa mizunguko yangu hapa town.
Sasa baada ya kumaliza shughuli yakuweka mziki kwa ride...
Habali wana jamvi mimi nimsomaji wa jukwaaa hili for quit sometime
Nakumbuka back in 2010 nilipokuwa chuo flani eldoret kenya unajua ule ujana usela mnaita tulikuwa tunaenda club wenyewe mnaita kula bata sasa ijumaa moja niko club mama akanipigia simu ikabidi nitoke nje ya club akaniambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.