Kwa sababu impression niliyopata kwenye post yako kuwa TISS wako stronger na more powerful than JWTZ. Na RO kama Chief ni wazi kuwa ana role yake na the same could be applied to Mwamunyange au tuseme head of Military Intelligence.
Na nijuavyo ni kuwa kuna intel hizi orgs zinashare na kuna...
Mbaraka Dau ambaye ni msomi na investment banker ataingia ulingoni kuchuana na combination ya Abdulkarim Shah (bulj na Mbunge wa sasa wa Mafiai) + Omari Kimbau (Mtoto wa Kanali Kimbau na mwenye bar ya Mafian) + (yule mama wa UN) +CCM Machinery + CUF ambao wako very strong kisiwani Mafia)...
Huyu mbunge wetu wa sasa nadhani mwenyewe keshajua. His time is up na nadhani its about time akatangaza kutogombea tena 2015.
Tushachoka na CCM wakitaka kulazimisha then bora tuwape wapinzani jimbo lakini as it is. We've had enough with Mr Shah. This does not mean kuwa tunataka Omari Kimbau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.