Habari zenu wadau, mdau ana degree ya kwanza ya Bachelor of art with Education, specilized in linguistics and kiswahili, kaishafanya kazi mwaka wa tano huu sasa anataka kwenda kufanya masters ya sociology, je atakuwa kachanganya mafile au hakuna tatizo kitaluma
Karibuni kwa ushauri.
wadau nataka kuanzisha kampuni ya udadali wa kuuza na kununua bahatai mbaya miye siyo mwana sheria nilikuwa naomba msaada wa kimawazo ya kisheria nianzie wapi ili kampuni ya ngu isije kutana na wajanja wajanja ikapotelea pasipo julikana
wadau kwakua bodi ya mkopo ya elimu ya juu tz inanigia mkataba na miye wakunpatipa pesa za chakula na maradhi nk kwa muda huhafaka je nauliza ni wapi naweza ishitaki hii bodi kipindi inapochelewa kunipa huo mkopo wangu kwa wakati
viwanja vinne vyinavyolusu makazi ya kawaida vimepimwa kabisa na vipo karibu na miundo mbinu maji barabara umeme vipo mwanza mjini eneo la buhongwa bei kuanzia mil 8 mpaka 10 anayeitaji ani PM miye si dalali
wadau nailikuwa nauliza hatua zipi inapaswa kupitia ili pombe nayotaka itengeneza ikubaliwe na serikali kuwa si haramu nataka tengeneza pombe aina ya spirit iwe katika mfumo wa viroba
tetezi za chini ya kapet zinasema kutokana na ajira kuwa kikwazo na kuendelea kuongezeka kwa wahitimu wa elimu ya juu mitaani na taluma zao na kutaka jiajiri ila hawana mitaji pia kila siku serikali pitia watendaji wake imekuwa ikiwataka wahitimu hawa wajiajiri basi wanachuo kikuu wanataka...
kuuliza si ujinga eti wadau hivi mtu mwenye shahada ya BAED anatofauti gani na yule mwenye shahada ya BED kwani naona wote wamesomea tLUUM moja msada pls
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.