Mafuta yanauzwa kuanzia shilingi elfu tano 5,000 tsh. Au juu jidogo inategemea na unaponunulia..
Hapana, huna haja ya kufungua milango, pulizia kwenye reli ya plastiki kioo kinapopita ili kupanda au kushuka.
Puliza kwenye vioo vyote utaona mabadiliko makubwa sana. Na pia itaokoa motor zako za...
Nadhani vioo vya gari vyako ni All auto AU cha dereva ndio auto. Vioo vya auto huna haja ya kushikilia switch ili kipande mpaka juu. Vinakuwa na ngazi mbili, ya kupandisha kawaida na kupandisha automatically.
Sasa hivi vioo vilitengenezwa hivyo ili kuepuka kubana vidole, mkono au chochote...
Mkuu tunaomba zaidi maelezo juu ya hili melon. Lina sukari (ni tamu), muda wa ukomaaji baada ya upandaji. Changamto zake ni zipi au kwasababu ni ya kusini mwa jangwa na uhalisia wa miiba kupelekea kuwa vumilivu.
Mkuu huna haja ya kujibu comments kama hizi kabisa. Maana ni wazi hayupo hapa kuelimika au kujibu hoja kwa hoja yenye mantiki.
Kurudi kwenye matunda, nipo Dodoma nina miti ya matunda zaidi ya ina 19 tofauti. Ila mwaka juzi nilipanda mti wa apple ila umekua kwa kusuasua saana. Kwasababu ya hali...
Uko sahihi sana mkuu.. naongezae na kingine juu ya hoja yako.. UZITO WA GARI.. gari unapoongeza uzito unazidi kupunguza efficiency yake. Unaongeza chuma karibu kilo 50 hadi 60 na bado hujabeba abiria.. kwakweli ni ukosefu wa habari na hawa manufacturers/watengenezaji wanajua wanachokifanya 100%...
Aaaah.. kaka Jitu mara nyingi nikiwaeleza rafiki zangu umuhimu wa thermostat huwa ni mzozo.. wanakwambia "Tanzania kuna joto kali saaana inabidi utoe" .. hii argument huwa siipendi maana ambient outside temperature mpaka ije iipe gari effect ya joto au baridi ni kwa EXTREME environments tuu kama...
Kwa experience binafsi kwenye gari ndogo. Nilipoitoa thermostat gari ilikiwa inaweza tumia dakika hata 8 kuzima ila nilipoirudishia tu, taa inazima ndani ya muda mfupi saana
Pole mkuu.. ila kwa haraka haraka akili ya jioni binafsi nadhani ni fuel pump imezeeka.. kama umebadilisha injini na gearbox umeifanyia service bila shaka utakuwa umeweka spark plugs mpya na coil zako zikiwa zimetazamwa vyema na kupimwa basi shida itakuwa kwenye mfumo wa mafuta.
Inawezekana...
Mkuu umemuokoa jamaa yangu saana.... ulichokielezea ndio exactly kilichokuwa kinaendelea kwene IST ya jamaa yangu.
Nilochofanya ni nilichukua coil spark za kwenye gari yangu nikahamishia kwenye yake na hapo hapo hili tatizo kwenye gari yake likaisha
Kesho anaamkia kwa wachinjaji wa spea za...
41 more horsepower bila kufanya modifications zozote. Just out of the plug in device. Sikuiti muongo maana sijashuhudia ila my brother I highly doubt it. HIGHLY
Simaanishi vibaya lakini kila nikiona tittle ya hii thread akili yangu inanituma kuwa mleta mada anatafuta AC compressor ya Mercedes Benz C200.
Sijui kwanini ila akili inagotea kwenye tope zito la AC tuu.
Bwaaaana bwana uko na ratiba safi sana inayolingana na yangu (kasoro hapo kwa wife,mabachela tunahaha)
Napendelea night trips hasa ndefu ila kidogo nianze saa nne kuepuka kukutana na mabasi (kasoro njia ya kuanzia singida ,katesh kutoka babati hadi magugu kuelekea arusha huko ni maarufu kwa...
The ending was perfect my fellow lunatic [emoji2957] hahahahaaa. Wakati mwingine naulizaga watu humu jukwaani “why soo serious” changanya mawazo na utani kidefuse tension kidogo
Dont take it from me though....
Am a lunatic [emoji2957][emoji2957]
Binafsi bila AC napata average ya 120km. Nikiwa highway na AC on below 120KmpH napata 130km kwa lita nane
Towntrips average kawaida ni 15km per liter
Kwa bei ya mafuta ya sasa huku mwanza ni 2577 tsh kwa liter inamanisha napata 7.7 liters
Kwahiyo nimeshuka mpaka 116 Km kwa elfu 20.
Aina...
Nahisi hauko sahihi katika kutoa thermostat.
Sio sahihi kwa injini kufanya kazi chini ya kiwango cha joto stahiki. Geji ya joto ikiwa chini inamaanisha injini inafanya kazi chini ya kiwango cha joto kinachotakiwa.
Na katika sheria za kifizikia maji au coolant yakipita muda woto huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.