utake usitake list ya majina ipo tayari, kitambo sana wametoka morogoro. lolote laweza kutokea kutokana na vimemo katika ofisi ya katibu mkuu kutoka..... OMBA MUNGU LISIJELIKANYOFOLEWA LA KWAKO LIKAWEKWA LA NANII. ha! ha! natania tu hakuna list yoyote we subiri wizara wa post.
nahisi ni mwoga wa kufikiri ila jasiri wa kula, ALIWAHI KUWASIHI WAANDISHI WA HABARI KUACHA KUANDIKA HABARI ZA UPELELEZI ETI WASIJE WAKAUAWA. ila wajikite kwenye umbea na kusifia watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.