nimekubali mkuu,nimeisoma deep na nikagundua mavazi ya ndani kama boxer, yanayobana kwa mwanaume si mazuri kwa production ya boy. Ts a useful link. Heko
viongozi wetu hapa tz wengi wao kama si wote ni wanafiki, bado hawataki kutuelewa wananchi tunataka nini na maendeleo gani! Pamoja na unafiki wao, unafiki wa sitta una nafuu kwetu kuliko ule wa Lowassa... Sina shaka sitta ndo anaenda chadema.
Jambo alilofanya Magayane si la kufurahisha na haliungwi mkono hata kidogo LAKINI jambo hilo kuhusishwa na kabila la WAHAYA pamoja na SEXUAL SCANDALS ni upuuzi mtupu, mwenye hii hoja haelewei analolifanya ktk JF otherwise ni punguani
mtu ahamue mwenyewe kupata radha nzuri ya sex kwa vijidakika na kisha kupata karaha ya fikra ya maambukizi ya HIV for the rest of maisha yake,asiyependa kutumia condom muogope anakutafutia membership ya victims
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.