Search results

  1. brave Mwafrika

    Muda wa kufanya application

    Naombe kujua, kwa kozi za ufundi I mean technical college. Muda wa application mwisho tarehe ngapi..? Na je ukichaguliwa ukichaguliwa kozi ngazi ya certificate unaweza kufuta na ku apply kozi nyingine level ya diploma??
  2. brave Mwafrika

    Muda wa kufanya application

    Naombe kujua, kwa kozi za ufundi I mean technical college. Muda wa application mwisho tarehe ngapi..? Na je ukichaguliwa ukichaguliwa kozi ngazi ya certificate unaweza kufuta na ku apply kozi nyingine level ya diploma??
  3. brave Mwafrika

    Naombeni kujua gharama ya ada ya chuo Cha bugando

    #Naombeni kujua gharama ya ada ya chuo Cha bugando kwa kozi ya radiology ngazi ya diploma..?
  4. brave Mwafrika

    Msaada: Jinsi ya kuendelea na maombi ya chuo baada ya kuchaguliwa

    Habari za leo wana JamiiiiForums, Naombeni mnijuze. Mimi nilifanya application ya chuo cha afya cha serikali na nikachaguliwa nursing. Ila nimejaribu kufanya tena application ili nichague kozi nyingine lakini niki login ili nifanye application wananipongeza tu kwa kuchaguliwa na hakuna option...
  5. brave Mwafrika

    Maoni yenu tafadhali tafadhali

    Habari za uzima ndugu zangu, Naomba kuuliza kuna kozi za afya ambazo ukiwa na degreee sio rahisi sana kupata kazi tofauti na mtu mwenye diploma??? Au ni rahisi kupata kazi ukiwa na degree tofauti na mwenye diploma???
  6. brave Mwafrika

    Nimechaguliwa PCM Bwiru Boys; Je, ni shule nzuri?

    Mimi naishi Mwanza, na ni mwanafunzi niliye maliza kidato cha nne mwaka Jana na nimebahatika kuchaguliwa kwenda A-level (Bwiru Boys Secondary School) katika mchepuo wa PCM. Nilikuwa naomba kujua ubora wa shule hiyo na uwezo wake katika ufundishaji hili mdogo wenu niweze kupata elimu nzuri...
  7. brave Mwafrika

    NAOMBENI MSAADA NDUGU ZANGU KWA WENYE UZOEFU NA UELEWA JUU YA HILI.

    #mimi ni mwanafunzi niliye maliza kidato cha nne mwaka Jana na nimebahatika kuchaguliwa kwenda A-level( Bwiru Boys Secondary School) katika mchepuo wa PCM. Nilikuwa naomba kujua ubora wa shule hiyo na uwezo wake katika ufundishaji hili mdogo wenu niweze kupata elimu nzuri itakayo nisaidia hapo...
  8. brave Mwafrika

    Wataalam na Wabobezi wa Physiotherapy naombeni ushauri

    Mimi ni muhitimu wa Kidato cha nne 2022. Nimefanya selection za kwenda chuo na nimependekeza kozi ya physiotherapy Chuo cha Bugando, Kilimanjaro na Mbeya. Naomba kujua kama kozi niliyo chagua nitaweza kupata kazi pindi tu nitakapo maliza?
  9. brave Mwafrika

    Naombeni kujua ni vyuo gani vya serikali apa Tanzania vinatoa kozi ya physiotherapy ngazi ya Diploma

    Naombeni kujua ni vyuo gani vya serikali apa Tanzania vinatoa kozi ya physiotherapy ngazi ya Diploma Naombeni msaada ndugu zangu
  10. brave Mwafrika

    Naombeni ushauri nini nisome kulingana na matokeo haya

    Mimi nilianzia QT mwaka juzi na nimemaliza Kidato cha nne mwaka Jana na matokeo yangu ni lama ifuatavyo, Civ 'C, Hist 'C, Geo 'C, Eng 'D, Kisw 'C, Phy 'C, Chem 'B, Bio 'C, Math 'A. Umri wangu ni miaka 24 Naombeni ushauri kama nikienda chuo nikasomee nini chenye fursa? Na Kama nikienda...
  11. brave Mwafrika

    Naomba kujua lini matokeo ya Kidato cha nne 2022/2023 yanatoka?

    Naomba kujua lini matokeo ya Kidato cha nne 2022/2023 yanatoka?
  12. brave Mwafrika

    Why census is seems to be a research?

    Why census is seems to be a research?
  13. brave Mwafrika

    Naomba kujuzwa madhara ya radiation

    Naomba kujua madhara ya radiation kwa ujumla.
  14. brave Mwafrika

    Inequalities

    Naombeni kujua matumizi ya at least, at most, not more than, more than kwenye somo la mathematics ususani mada linear programming
  15. brave Mwafrika

    Ni siku zipi mwanamke anashika Mimba baada ya kutoka hedhi?

    Naomba kujua ni siku zipi mwanamke anaweza kushika mimba baada ya kutoka kwenye siku zake za hatari?
  16. brave Mwafrika

    Nataka kujenga naomba kujuzwa gharama za mambo haya

    Naomba kujua ndugu zangu, idadi ya MATOFARI, MABATI, MBAO, NA CEMENT, Ambayo yataniwezesha kumaliza ujenzi wa vyumba viwili na sebule.
Back
Top Bottom