Chochote kingeweza kutokea, kwa sababu iliwaumma kuona wakihujumiwa. Tuelewe kwamba mtu akikasirika anaweza kufanya vituko. Binafsi naomba waislam wasamehe, halafu washiriki kwenye harakati za kupambana na ufisadi na tusikubali kuchelewesha hizo juhudi kwa tofauti zetu za dini.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia idara yake muhimu ya kukusanya mapato (TRA) ilihamua kuboresha mfumo wake kukusanya mapato kwa kutumia kifaa cha kielectronic ambacho pindi mfanyabiashara aingizapo bidhaa aliyouza ripoti yake hufika moja kwa moja makao makuu. Katika mfumo huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.