Msaada:
Dada yangu ni mjamzito miezi tisa sasa, juzi kafanya utra sound wanasema mtoto amevingirisha kitovu shingoni kwa hiyo uwezekano wa kujifungua kawaida haupo ila kwa operation mapema bila hivyo mtoto atatoka amekufa.
Leo kaambiwa operation ifanyike kesho au Jumamosi hapo kwa Kairuki...
Nakubaliana na mkeo kabisa ungeumwa wewe akakataa kukuhudumia kweli lkn mama yako, uguza mama yako wewe suala la kuuguza si mchezo mdogo, namtetea huenda mna ndugu wengi lkn mnataka kumtwika yy msalaba wote wa kuuguza, je ingekuwa na mama yake anaumwa ungemuuguza wewe? Wanawaketunapitia ktk...
Jaman asali ya nyuki wakubwa, wadogo jumla na rejareja bado ipo, inapatikana pia supermarket ya thanks god sinza madukani, tandale uzuri darajan kona ya barabara ya kuelekea sayansi, karibuni sana sana
Kanijia rafiki yangu asubuh hii na mapema nimshauri kwa yaliyomkuta usiku wa jana, wana jamvini kabla sijamshauri naomben mawazo yenu, yy ni hawara wa mume wa mtu sasa jana kulikuwa na harusi ambayo jamaa alipaswa kwenda na mkewe, wakati akimpa updates za yanayojiri harusin kupitia mtandao kwa...
Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini, nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile nyumbani tulikuwa tuna ngombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea kwao. Akanenepa!! Penzi letu likawa huru alipoanza maisha yake mwenyewe. Sikuwa najua lolote kuhusu mapenzi. Alinifundisha...
Ninayo bwana Willy Sony, nyuki wakubwa rejareja lita elfu kumi, jumla lita ishirin laki na thelathin napatikana
Maliasili na utalii makao makuu, 0715274070
Nina rafiki yangu anaolewa jumamosi, na baada ya harusi wanakwenda honeymoon, tatizo linalofanya kuomba ushauri ni kuwa anatarajia kuanza MP jumamosi hiyo hiyo, wasiwasi wake je ni namna gani atafurahia honeymoon yake huku yupo MP? je kuna dawa anaweza kunywa ili kuahirisha period kwa muda...
autorec ndio kila kitu kwakweli! kuhusu msaada wa kodi kwa civil servant unatakiwa kuwa scale kuanzia tgs d, procedures nenda mtandao huo hapo juu wa gariyangu.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.