Mm ni kijana wa miaka 30 ni chef mzoef wa vyakula vyote vya kiswahili pamoja na bites zote na pia naweza kutengeneza burger, pizza, all types of fried rice and many more pia naweza kuandaa menu na kufanya set up ya jikoni na kusimamia jiko vizuri...kwa mawasiliano 0785724008
Naomba msaada, mimi ni mpishi wa vyakula vyoote vya Kiswahil na bites mbalimbali na vya kizungu baadhi kama Pizza, burger, beef sizzla nk
Namba yang ni 0692111145
Mimi ni mpishi wa vyakula mbalimbali na bites pia niko Mwanza namba yang ni 0747271066 tafadhali yeyote mwenye fununu wap ntapata anijuze.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar gan wanaTHREADS!!Mim ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 30 nina taaruma ya upish japo c ya kusomea ila ni mpish mzur wa vyakula vya kiswahil kama wali,pilau,birian na rost aina zote pamoja na bites zote kama maandaz,chapat,sambusa na vingine ving..Napatikana kwa namba 0620...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.