Ifikie mahala rais awe anateua watu wenye mchango chanya katika nafasi kumi ambazo huwa anapewa watu kama akina Pro Lipumba wanaweza kuleta mchango katika nchi kuliko kila siku wanapeleka mawazo yao katika nchi za watu, nim kitu cha kujiuliza walikuwa wanazuoni wangapi katika Mkutano huu? Na ni...
Hiyo ndo Tanzania huwa tunashindwa kuchambua ni kipi cha maana na kipi si cha maana, tukumbuke wakati Baba Riz anaingia madarakani alishangiliwa na kila mmoja na kuamini ni chaguo la Mungu leo sijui ni changuo la SHETANI? Kiongozi bora anapimwa kwa matendo yake na si kushangiliwa na kundi fulani...
Hakuna haja ya kuchagua wa kuanza naye wote wanatakiwa wafe kifo kimoja kwa sababu wanafananisha watanzania na watoto wadogo ambao hawajui kitu na huu upuuzi utaendelea mpaka lin?.i Watanzania tunashindwa nini kufanya maamuzi magumu ya kuwaondoa hawa watu maana kwa kuwaondoa kwa demockrasia...
Huyo bwana amezoea kupewa vya bure na Udms ikitaka kuendelea kushuka hadhi ifanye kitu kama hicho, bwana mkubwa ni vizuri ukaenda UDOM alikozoea kupewa vya bure, PHD ni kitu kingine watu wanatumia zaidi ya miaka 20 wakitafuta PHD yeye leo apewe kirahisi kiasi hicho hapana.
hii inatisha jaman tumuombe sana mungu atuepushie na haya mabalaa ya uchaguzi kwan viongoz wanaonesha dhahili kwamba hawapo kwa ajili ya maendeleo yetu bali ni kwa ajili ya masilahi yao binafsi cha msingi ni si wananchi kujitambua kwani mabadiliko hayaletwi na wao bali yanaletwa na sisi wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.