Hawa jamaa wa cloudstv wamezindua channel Yao kwenye dstv wanasema itapatikana Africa yote hii imekaaje wadau naona kama kuna kamchezo hapo maana channel zote za e.africa huwa azionekani s.a kazalika na za kwao azionekani kwetu wale wanaotumia beam ya sa naomba mtie neno hapa isije kuwa changa...
Kufuatia kitendo cha wamasai kumuua kwa kumkata mapanga kijana mmoja wa bodaboda huko katika mashamba ya Mgongola Mvomelo.
Sasa sakata hilo limeamia mjini kila masai anaetia mguu mjini cha moto amekipa vijana wa bodaboda wemejioganaizi popote anapooneka mmasai wanamfanyia ambushi kubwa, jana...
heshima kwenu wakuu. Nina kigari changu kipo hapa mjini hakina kazi. Naomba kazi toka kwenu . Kinauzo wa kubeba mzigo wa tani na nusu adi mbili itategemea na mzigo na unapokwenda karibuni
eneo la geleji linauzwa. Linaukubwa wa mita 70 kwa 35. kwa sasa kuna shughuli za ufundi wa magari zinaendelea. Uzio hupo na upande wa mbele kuna geti na vibanda vya biashara. Eneo limepakana na gereji zingine. Gereji hipo barabara ya mazimbu inatizamana na idara ya maji. MOROWASA na PECOH. Bei...
Nimepigiwa simu toka huko kapunga Mbeya kuna ajali imetokea huko.
Lori lilobeba watu zaidi ya 90 limeanguka ubavu na kubuluzika umbali mrefu watu zaidi ya ishirini inasemekana wametutoka huku wengine wemesambaratika viungo hasa mikono.
Kwa walio Mbeya mnaweza fatilia hilo tukio,,nimepigiwa...
Hawa jamaa wameingia mitini hawapatikani tena kwenye sateliti walisema wanafanya marekebisho. Marekebisho gani hayo leo siku ya 6 naona wametutapeli kama gtv wabongo tumeliwa na mchungaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.